Njia ya kurefusha uume

Njia ya kurefusha uume

Likes za kwny post # 2 ni dalili kuwa wanaume wengi wenu mnapeperusha nusu mringoti. Wenye Miringoti ni wachache ndo maana mmewahi kuweka supporting defence.
 
Chukua uzi Mwekundu rula moja (sm30), chanja dodoki yale maji maji yake paka kwenye uzi, uzi ukikaika uchome moto, unga unga wake chanjia kwenye uume. Baada ya mwezi Mzee Baba kitu Box.
 
Je ni kweli kuwa ukiichanjia dodoki na uume wako kadri dodoki linavyokua kubwa na uume unaongezeka ukubwa?
Wanaume wa Dar bhana....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
 
Je ni kweli kuwa ukiichanjia dodoki na uume wako kadri dodoki linavyokua kubwa na uume unaongezeka ukubwa?
Hilo swali unamwuliza nani uliyesikia alichanjia? Ungeuliza cha kufanya kwaajili ya kukuza uume wako. Watu wana njia nyingi tofauti, wangekusaidia.
 
Huyo ni mzembe tu, hizo habari za kurefusha uume alikozipata ndio huko huko alitakiwa aambiwe anayotaka kujua kupitia jf.
Hizo mambo pia lazima kuna masharti yapo ngoja afate akosee aje kuomba ushauri tena humu.
 
Mimi nikusaidie dawa ..kula vizuri pumzisha mwili , fanya zoezi ...relax na ondoa stress then fanya shughuli za kibaharia then lete mrejesho utaibwa sana mkuu ....afu acha kuangalia video za ngono maana hao ndio wanakufanya ujione tofauti
Umemaliza Mkuu
 
Mimi nikusaidie dawa ..kula vizuri pumzisha mwili , fanya zoezi ...relax na ondoa stress then fanya shughuli za kibaharia then lete mrejesho utaibwa sana mkuu ....afu acha kuangalia video za ngono maana hao ndio wanakufanya ujione tofauti
[emoji106]
 
Back
Top Bottom