Njia ya Kuwatimua Machinga ni Serikali Kutengeneza Ajira Mpya

Njia ya Kuwatimua Machinga ni Serikali Kutengeneza Ajira Mpya

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,146
Reaction score
3,235
Njia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.

Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao.

Tatizo liliopo siyo machinga kuteka mitaa, tatizo liliopo ni hakuna ajira mbadala. Tengeneza ajira umachinga utakufa wenyewe.

Hakuna mtu anayependa kupanga vitu kwenye lami barabarani achomwe jua kutwa na amezee vumbi.
 
Anayewaza kutengeneza ajira ni Haikande Hichilema huku bongo kila mtu anapambana kivyake
 
Ajira zinatengenezwaje

Maana mkisema msubirie ajira
Serikalini huko kuna msusuru wa
Watu

Ova
 
Ungetoa solution

Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.

Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi . Kivipi itatengeneza masoko ya mazao na dhahabu?

Serikali inawawezesha watanzania walio nje ya nchi kwa makubaliano maalum ya kijasusi halafu hao watanzania wanafungua supermarket za mazao huko waliko kama raia huko waliko halafu serikali ndo inakuwa ina supply bidhaa kwa hao watanzania.

Kwa kufanya hivyo, serikali-Tanzania itakuwa ina export sana na itapata kodi nyingi zaidi ya kuibia watanzania kwa kitu kinachoitwa tozo. Na hapo hapo unakuwa ume create ajira nyingi sana. Ulaya kilo ya viazi ama mihogo vitamu ni elf 25, papai elf 25. Kahawa kilo arabika laki moja nk.
 
Kwahiyo wamachinga milioni sita wote unawahamishia ulaya sio? Akili za mbilikimo hizi.
 
Njia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.

Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao...
Hakuna serikali duniani ambayo imeweza kutengwnwza qhira mpya za kuwameza vijana wote

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.

Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasus...
Akili kubwa sana hii. Kwa nchi kama zetu hizi bado tunasubiria Ruzuku ya waisani.

Tukija kuzinduka kufanya ujasusi wa kiuchumi wenzetu walishatuacha mbali sana.

Mfano mdogo ni kenya na Rwanda wame_ base kwenye Economic intelligence, ndio maana bidhaa ikitoka tz ikipekwa huko wanabandka lable zao ili ionekane ni yao
 
Ajira zitengenezwe na siyo kukimbiza watu na wakati huna ajira ya kuwajiri , halafu hao hao unaowakimbiza unawategeshea atumie bibi yake kununua mchicha umkate tozo, hao hao unawategeshea anunue umeme umkate tozo eti ili ujenge uchumi. Sasa ukiwatimua wakafaa njaa utamkata nani tozo?
 
Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.

Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi...
Hayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa? Sio rahisi hivyo kama unavyozungumza, unadhania masoko ya huko ni kama haya ya buguruni?

Wewe leta tu, asilimia 80 ya mazao hasa matunda, mbogamboga, na jamii yake kwenye soko la ulaya /USA, hayafai!na ni kutokana na kutofuata njia bora za kilimo hasa wanachotaka wao!

Kuna fulsa ilitolewa na US, kupeleka bidhaa huko bila ushuru hadi muda umeisha hakuna la maana lilifofanyika!!!
 
Njia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.

Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao...
Hawaajiriki
 
Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.

Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi . Kivipi itatengeneza masoko ya mazao na dhahabu?...
mkuu hivi ni kweli uchumi unawork namna hiyo hebu serious basi
 
Hayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa??sio rahisi hivyo kama unavyozungumza...
Huyu jamaa anafikiri kuwa tukiwa tunalima maharage basi ni rahisi tu kuongea na china ili tuwe tunauza huko anadhani mambo ni rahisi rahisi namna hio
 
mkuu hivi ni kweli uchumi unawork namna hiyo hebu serious basi
Una work sana namna hiyo. Halafu si lazima ufuate model iliyopo kwa kutumia vitabu ulivyoandaliwa na mpinzani wako.
 
huyu jamaa anafikiri kuwa tukiwa tunalima maharage basi ni rahisi tu kuongea na china ili tuwe tunauza huko anadhani mambo ni rahisi rahisi namna hio

Hujaelewa nacho maanisha, nitakufafanulia ninacho maanisha.
Kuna watanzania tayari wana uraia ujerumani na wajerumani ni wanywaji wa kahawa kinachotakiwa kufanyika nikuwa kwa vile tayari mna Watanzania raia wa ujerumani hawa watanzania wawezesheni kijanja wajenge supermarket na stores za kahawa huko ujerumani.

Kisha serikali inakuwa ina supply kahawa hiyo kwenye supermarket za watanzania walio ujerumani kimantiki ina supply kwenye supermarket zake ujerumani na kuuza locally ujerumani.

Bila hivyo eti kufuata vitabu vilivyofundishwa darasani sijui bilateral agreements kahawa zitawaozea na viazi vitaliwalia na ngedere.

Eti unategemea mhindi ndo anunue ndegu zenu atawazingua tu kila siku na hamna mtachofanya. Natumaini umeelewa nachomaanisha.
 
Hayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa??sio rahisi hivyo kama unavyozungumza...
Mkuu nani apeleke wakati hana mtaji, yani ni sawa unatangaza machinga aweke auuzie vifaa vyake kwenye supermarket ila hutowakata kodi ya bidhaa bali kinachotakiwa ni akodi tu supermaket yake.

Yani una maana hata dhahabu na tanzanite zinazouzwa kila mkoa kwenye tumasoko twa ndani hazina ubora? wawezeshe watatengeza ubora zaidi.

Yani uniambie mapapai, mihogo na viazi vitamu, maharage vinashindana ubora na bidhaa gani ya ulaya? Hao unaowaona wakenya waki struggle sababu ni zilezile hawajawezeshwa.
 
Back
Top Bottom