Njia ya Kuwatimua Machinga ni Serikali Kutengeneza Ajira Mpya

Njia ya Kuwatimua Machinga ni Serikali Kutengeneza Ajira Mpya

Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.

Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi . Kivipi itatengeneza masoko ya mazao na dhahabu? Serikali inawawezesha watanzania walio nje ya nchi kwa makubaliano maalum ya kijasusi halafu hao watanzania wanafungua supermarket za mazao huko waliko kama raia huko waliko halafu serikali ndo inakuwa ina supply bidhaa kwa hao watanzania.
Kwa kufanya hivyo, serikali-Tanzania itakuwa ina export sana na itapata kodi nyingi zaidi ya kuibia watanzania kwa kitu kinachoitwa tozo. Na hapo hapo unakuwa ume create ajira nyingi sana. Ulaya kilo ya viazi ama mihogo vitamu ni elf 25, papai elf 25. Kahawa kilo arabika laki moja nk.
Wao wamejikita kwenye ujasusi wa kukandamiza vyama vya siasa na kuachana na ujasusi wa kiuchumi
 
Serikali sio rahisi kutengeneza ajira, ila sera nzuri ndio zitafanya private sector itengeneze ajira,vitu muhimu wanachoweza kufanya ni kupunguza kodi, kufanya mikopo itoke kirahisi na riba kidogo, kupambana na rushwa 100%...hayo mambo matatu yatafanya biashara nyingi kufunguliwa na kuajiri watu
 
Yaani mnataka diaspora tuchuuze maharagwee maharagweee mama hapa maharagweeeee
 
Hujaelewa nacho maanisha, nitakufafanulia ninacho maanisha.
Kuna watanzania tayari wana uraia ujerumani na wajerumani ni wanywaji wa kahawa kinachotakiwa kufanyika nikuwa kwa vile tayari mna watanzania raia wa ujerumani hawa watanzania wawezesheni kijanja wajenge supermarket na stores za kahawa huko ujerumani. Kisha serikali inakuwa ina supply kahawa hiyo kwenye supermarket za watanzania walio ujerumani kimantiki ina supply kwenye supermarket zake ujerumani na kuuza locally ujerumani. Bila hivyo eti kufuata vitabu vilivyofundishwa darasani sijui bilateral agreements kahawa zitawaozea na viazi vitaliwalia na ngedere.

Eti unategemea mhindi ndo anunue ndegu zenu atawazingua tu kila siku na hamna mtachofanya. Natumaini umeelewa nachomaanisha.
Akili hii ni kubwa sana, kwa viongozi wetu hawawezi kukuelewa! Bado wanapambana na CHADEMA na kufanya propaganda za covid.
 
Akili hii ni kubwa sana, kwa viongozi wetu hawawezi kukuelewa! Bado wanapambana na CHADEMA na kufanya propaganda za covid.
Ndivyo hivyo mkuu, nafikiri viongozi waachane kwanza na vitabu vya darasani wafikiri njia zingine rahisi za ku export na kutengeneza ajira na bidhaa zetu kuwa na soko la uhakika walio li create wao serikali virtually, badala ya kubebeleza watu wanunue bidhaa zetu.
 
Serikali sio rahisi kutengeneza ajira, ila sera nzuri ndio zitafanya private sector itengeneze ajira,vitu muhimu wanachoweza kufanya ni kupunguza kodi, kufanya mikopo itoke kirahisi na riba kidogo, kupambana na rushwa 100%...hayo mambo matatu yatafanya biashara nyingi kufunguliwa na kuajiri watu

Serikali inatengeneza ajira kwa kuwezesha, lazima uwe na kick start siyo tu kodi hiyo kodi. Ukimwekea kodi zero mtu ambaye hana pesa hata biashara hawezi anza unahitaji support kuwa boosted.

Na ukiangalia multi national companies kama hayo barrick gold kwa mfano nyuma yake kuna serikali.
Nchi nyingi tu ukiwa una idea ya kuexport wanakupa mtaji serikali.

 
Serikali inatengeneza ajira kwa kuwezesha, lazima uwe na kick start siyo tu kodi hiyo kodi. Ukimwekea kodi zero mtu ambaye hana pesa hata biashara hawezi anza unahitaji support kuwa boosted.

Na ukiangalia multi national companies kama hayo barrick gold kwa mfano nyuma yake kuna serikali.
Nchi nyingi tu ukiwa una idea ya kuexport wanakupa mtaji serikali.

Kodi ni muhimu sana na biashara nyingi zinakufa kwa ajiri ya kodi kubwa (fanya research), bank nyingi TZ commercial rate mpaka 20% wakati nchi nyingi zilizoendelea haizidi 4% kama umewahi kufanya biashara unaelewa riba kubwa inaua biashara haraka sana, huwezi kusaidia sector nzima kwa kuyapa makampuni mitaji au pesa za bure, BOT ifanye kazi yake riba ishuke na mikopo itoke kirahisi ili watu wafanye kazi na ndio kazi yake kubwa ....kodi na riba(interest rate) ndio mpango mzima kwenye business World la sivyo utakuwa unapoteza muda tuu
 
Najaribu kuwaza tu vp huyo mbongo wa nje akipewa hio biashara kisha yeye akaiuza kwa bei ya jumla na kila kitu kilichomo kisha akaingia mitini itakuaje hapo wadau.maana tunajuana.
 
Najaribu kuwaza tu vp huyo mbongo wa nje akipewa hio biashara kisha yeye akaiuza kwa bei ya jumla na kila kitu kilichomo kisha akaingia mitini itakuaje hapo wadau.maana tunajuana.
Kuna arrangement mhimu hua zinafanyika, hapo ndo kazi ya mabalozi inapoingia ndani na ujasusi wa kibalozi. Ulaya huwezi uza biashara tu ukachomoa pesa hata kampuni ni yako.
Pili katika wale wafanyakazi mhimu serikali inachomeka ndani watu wake kwahiyo wanakuwa wanajua nini kinachoendelea.
 
Serikali sio rahisi kutengeneza ajira, ila sera nzuri ndio zitafanya private sector itengeneze ajira,vitu muhimu wanachoweza kufanya ni kupunguza kodi, kufanya mikopo itoke kirahisi na riba kidogo, kupambana na rushwa 100%...hayo mambo matatu yatafanya biashara nyingi kufunguliwa na kuajiri watu
Siyo kweli. Sekta binafsi ya bongo ni janja janja tu, wengi wanafanya packaging tu, huwezi wategemea wakutengenezee ajira.
 
Ardhi kubwa tunayo,serikali ingetengeneza mazingira bora,masoko + miundombinu yote angalau hata kwa %65 watu wajikite kwenye kilimo...
Wasije tu wakawakusanya vijana wakaenda kuwatupa maporini mnaambiwa haya limeni
Sasa watu walime kwa kutumia meno

Ova
 
Una work sana namna hiyo. Halafu si lazima ufuate model iliyopo kwa kutumia vitabu ulivyoandaliwa na mpinzani wako.
supermarkets nyingi zinamilikiwa na makampuni makubwa makubwa km amazon, walmart, schwartz n.k, kuna mwaka huko US survey ilionesha karibu asilimia 80 ya wateja wa bidhaa za majumbani walitembelea store za walmart kununua bidhaa, hio ni nchi yenye watu zaidi ya millioni 300 mkuu unaweza ukaona ni jinsi gani haya madude yalivyo control hio biashara ndio maana mi nasema unachokisema ww hakina uhalisia, pengine ufahamu kwnz hio biashara unayoisema inaendeshwa vp huko dunia ya kwanza, juzi kati huko india wakulima walikua wanaandamana hatari km ulifuatilia shida ilikuwa nn basi unaweza jua kwann huo mtazamo wako hauendani kabisa uhalisia wa hio biashara
 
supermarkets nyingi zinamilikiwa na makampuni makubwa makubwa km amazon, walmart, schwartz n.k, kuna mwaka huko US survey ilionesha karibu asilimia 80 ya wateja wa bidhaa za majumbani walitembelea store za walmart kununua bidhaa, hio ni nchi yenye watu zaidi ya millioni 300 mkuu unaweza ukaona ni jinsi gani haya madude yalivyo control hio biashara ndio maana mi nasema unachokisema ww hakina uhalisia, pengine ufahamu kwnz hio biashara unayoisema inaendeshwa vp huko dunia ya kwanza, juzi kati huko india wakulima walikua wanaandamana hatari km ulifuatilia shida ilikuwa nn basi unaweza jua kwann huo mtazamo wako hauendani kabisa uhalisia wa hio biashara

Mkuu nakuelewa.
wewe huko hupeleki biashara kushindana na bidhaa zinazopatikana huko. stores zako zinakuwa mi za kipekee.
Ukipeleka karanga, ndegu, ndizi , dhahabu hao waote uliowataja hawakukamati. Lazima uje na brand yako na namna ya kulitawala soko ktk maeneo yako.
 
Kuna mbunge alizua taharuki katika Bunge la Jamhuri (T) na Bunge la Taifa (K) akilalamika Wabongo wamejaa Nyayo wakifanya biashara hadi za mbogamboga na matunda, akiomba wafukuzwe.

Kidume, wewe endelea kulalamika mitandaoni ukitaka Serikali ikufungulie supermarket ughaibuni. Wahenga walisema ' MTOTO MWEREVU, NI FAHARI KWA BABA YAKE. NA MTOTO MPUMBAVU, NI MZIGO KWA MAMA YAKE'.
 
Njia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.

Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao.

Tatizo liliopo siyo machinga kuteka mitaa, tatizo liliopo ni hakuna ajira mbadala. Tengeneza ajira umachinga utakufa wenyewe.

Hakuna mtu anayependa kupanga vitu kwenye lami barabarani achomwe jua kutwa na amezee vumbi.
Unafikiri kutengeneza ajira ni bla bla! Siyo kama nakubishia au napinga wazo lako ila nataka tu kukutahadharisha kuwa serikali zembe na ya kisanii namna hii haiwezi. Inahitaji watu wenye commitment kubwa sana. Siyo hii iliyoweka ma-DC wauza sura wasiyo na kazi yoyote bali kufanya maigizo mara ya kuandaa jogging, mara kufanya mambo ya kijinga kabisa. Njia nzuri sana na tuliyo na uwezo nayo ya kuikwamua Tanzania ni kilimo. Tuna uwezo wa kuilisha dunia kabisa tena bidhaa zetu zikubalike kila kona ya dunia. Ni mipango tu.
 
Naam hio ndio sustainable solution kuhakikisha watu wanapata kipato ili kukidhi maisha yao kwa kufanya kazi ambazo sio hatarishi sio ili mradi kazi.... (ukizingatia na hizi tozo na mzunguko wa pesa kuwa mgumu hata wenye maduka nao ni potential machinga)

Pia ukizingatia tupo kwenye karne ya Sayansi na Teknolojia tusitegemee kuna wadau watamwaga ajira (iwe serikali au watu binafsi)..., manpower is no longer needed kama zamani..., ukiwa na wafanyakazi wachache utaongeza efficiency hence kuweza kupambana na soko.... Kwahio Soluhisho ni Machinga wenyewe kujisadia na sio kusaidiwa na mimi wala wewe.... HOW

With their strength in numbers, the poorest are the only ones who can guarantee their transformation to becoming wealthy...; Hivyo they either die alone individually or survive together as a unit...

 
Njia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.

Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao.

Tatizo liliopo siyo machinga kuteka mitaa, tatizo liliopo ni hakuna ajira mbadala. Tengeneza ajira umachinga utakufa wenyewe.

Hakuna mtu anayependa kupanga vitu kwenye lami barabarani achomwe jua kutwa na amezee vumbi.
Barabara ilitengenezwa kwa ajili ya watu kupita sio machinga kuuzia vitu vyao.
 
Mkuu nakuelewa.
wewe huko hupeleki biashara kushindana na bidhaa zinazopatikana huko. stores zako zinakuwa mi za kipekee.
Ukipeleka karanga, ndegu, ndizi , dhahabu hao waote uliowataja hawakukamati. Lazima uje na brand yako na namna ya kulitawala soko ktk maeneo yako.
km gharama za upaikanji wake ni nafuu kuliko sehemu nyingine basi ht hao wahuko wangekuja kununua ili wakauze wapate faida maana bepari kwa faida hata kwe tanuru ya moto ataingia ila km gharama zinafanana na mataifa mengine basi lazima tukapambane na competition na hapo ndio mataifa mengi ya africa tunaposhindwa wazungu wenzetu wanatoa ruzuku kwa wakulima wao mfano kuna documentary moja nlicheki wakulima huko ujeruman wanasema wengi wao wasingweza kusurvive km si ruzuku toka serikalin so huko sokon bidhaa zao ziko competitive, mazao ambayo yanapatikana kwa wingi huku kwetu kuliko kwao ni machache mno ambayo hayawez kuleta mapinduz yeyote kwe uchumi wetu mpk kutatua tatizo la ajira, popote kwe unafuu wa kufanya biashara ya mazao ya chakula au biashara mataifa makubwa yanakomaa sana na lushindana nao lazima uwe na kitu flan cha ziada ambacho wao hawana, ndio maana ht mahindi marekan ndio largest exporter ukienda kwe pamba either ni wapili au watatu kwa kulima kwa wingi duniani, kusema tatizo linahitaji utashi mdogo that is too much bro ingawa inawezekana maana kila mtu ana mtazamo wake
 
Back
Top Bottom