Ajira zinatengenezwaje
Maana mkisema msubirie ajira
Serikalini huko kuna msusuru wa
Watu
Ova
Ungetoa solution
Hakuna serikali duniani ambayo imeweza kutengwnwza qhira mpya za kuwameza vijana woteNjia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.
Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao...
HujanielewaKwahiyo wamachinga milioni sita wote unawahamishia ulaya sio? Akili za mbilikimo hizi.
MnhhhSolution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.
Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi...
Hakuna serikali duniani ambayo imeweza kutengwnwza qhira mpya za kuwameza vijana wote
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Akili kubwa sana hii. Kwa nchi kama zetu hizi bado tunasubiria Ruzuku ya waisani.Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.
Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasus...
Hayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa? Sio rahisi hivyo kama unavyozungumza, unadhania masoko ya huko ni kama haya ya buguruni?Solution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.
Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi...
HawaajirikiNjia rahisi ya kuwatimu wamachinga ni serikali kutengeneza ajira mpya.
Haina maana kabisa kuwa na mji msafi halafu watu wanakufa na njaa, watu wanashindwa kuhudumia familia zao...
mkuu hivi ni kweli uchumi unawork namna hiyo hebu serious basiSolution zipo nyingi sana ni utashi na akili kidogo tu.
Mfano: Serikali itengeneze masoko yake yenyewe nje ya nchi. Masoko ya mazao na madini . Biashara ni ujasusi na kujenga uchumi ni ujasusi . Kivipi itatengeneza masoko ya mazao na dhahabu?...
Huyu jamaa anafikiri kuwa tukiwa tunalima maharage basi ni rahisi tu kuongea na china ili tuwe tunauza huko anadhani mambo ni rahisi rahisi namna hioHayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa??sio rahisi hivyo kama unavyozungumza...
Una work sana namna hiyo. Halafu si lazima ufuate model iliyopo kwa kutumia vitabu ulivyoandaliwa na mpinzani wako.mkuu hivi ni kweli uchumi unawork namna hiyo hebu serious basi
huyu jamaa anafikiri kuwa tukiwa tunalima maharage basi ni rahisi tu kuongea na china ili tuwe tunauza huko anadhani mambo ni rahisi rahisi namna hio
Mkuu nani apeleke wakati hana mtaji, yani ni sawa unatangaza machinga aweke auuzie vifaa vyake kwenye supermarket ila hutowakata kodi ya bidhaa bali kinachotakiwa ni akodi tu supermaket yake.Hayo kuyafanya kwa wenzako (nchi) unaona ni rahisi tu?hao wakenya kila siku mnaona kuwa wamejaza bidhaa zao hapa??sio rahisi hivyo kama unavyozungumza...