Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Joined
Jul 15, 2015
Posts
63
Reaction score
61
Habari zenu wakuu,

Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.

Njia ya kwanza:

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na vua nguo zako za chini kuwa kama unafukiza uke wako. Hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia katika uke wako.

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufurahia.


Njia ya pili:

Chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba.

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa.

Asanteni

Njia zaidi:-

images%2B%25285%2529.jpg

(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema)

Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi

Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!)

Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha

SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA

Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo;

(a) Magonjwa ya uke

(b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara

(c) Kujifungua

(d) Usagaji

DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA

Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini

MATUMIZI

Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku

Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo

ZINGATIA

Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa.

Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii
 
MziziMkavu amevamiwa. bila shaka ukawa bado wanagombania nani agombee udiwani na majimbo ya ubunge na uraisi
 
Habari zenu wakuu leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana

Njia ya kwanza

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia ktk uke wako

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufuragia


Njia ya pili: chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa

Asanteni


Yote hii ni kutafuta nini? papuchi iwe ndogo ili iweje? acha kuwadhalilisha na kuwasimanga wanawake wewe! kwa mwennye kujua kuchezesha dushe lake ndani ya papu hahitaji ukubwa au udogo wa kutumia madudu uliyoyataja.
 
Kazi mnayo! hakuna uke usio na size yake ya mtwangio mnaharibu tu asili za uke zenu.
 
Nadhani hata shetani sasa anakaa kona kushangaa innovation za mwanadamu.
 
Yote hii ni kutafuta nini? papuchi iwe ndogo ili iweje? acha kuwadhalilisha na kuwasimanga wanawake wewe! kwa mwennye kujua kuchezesha dushe lake ndani ya papu hahitaji ukubwa au udogo wa kutumia madudu uliyoyataja.

Nimewasimanga wapi wewe watetee wakati wao wanaenda kuufanyia kazi uzi huu au wewe ni team kibamia :what::what:
 
Back
Top Bottom