Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Habari zenu wakuu,

Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.

Njia ya kwanza;

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia katika uke wako.

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufurahia.


Njia ya pili:

Chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba.

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa

Asanteni


Swali.

Mkuu mimi ni me lakini nataka kujua kama hii therapy mama akishaifanya ni ya kudumu au lazima aifanye kila anapotegemea kuwa katika tendo la ndoa?
 
:glasses-nerdy:uta wwaapata wengi hapa...sidhaani kama kuna kitu kina weza badilisha Anatomy disorder ya binadamu zaidi ya surgery& ajali....!!!!
 
ushauri huu ni mzuri kwa wanawake ambao hawana mpango wa kuzaa, manake akiutumia wakati wa kujifungua itakuwa shida
Habari zenu wakuu,

Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.

Njia ya kwanza;

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia katika uke wako.

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufurahia.


Njia ya pili:

Chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba.

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa

Asanteni
 
Ukubwa uliopitiliza wa uke ni ulemavu kama ulemavu mwingine.....
Uliochotakiwa ni kuwapa ni kuwapa wanawake wenzio mbinu za kutunza ndoa zao...
 
this is really bad advice. alafu kuna watu watafanya hivi kabisa, dah
 
Hahahahahhaah hatariiiiii..... jamani mimi ni ke na hata ukienda kwa magyno unaambiwa its not advised kitu chochote kuingine ukeni which is not meant 2 b there na ndo maana hatushauriwi hata kujiosha na sabuni za kawaida kwasababu zina madhara kwetu. According to me na uelewa wangu ni kua hizi vitu zina madhara makubwa sana hayataanza leo but eventually yatatokea.
 
Back
Top Bottom