Mtaua vizazi bure, baadae ziwe ni safari za kwa waganga kila kukicha...
Kalenda ndio mpango mzima.
Kuna hausigeli alituchanganya mpaka tukahisi ni mwanga. Alikuwa na rundo la mkaa ndani ilhali sisi tunatumia gesi. Isijekuwa naye alishadanganywa na hii sayansikimu.mjinga hapa ataiga..kazi kweli kweli
Lakn hesabu zake ngumu sana, zinaweza kukushinda hata kama una degree ya hisabati.yeeaahh na ndi inasemekana ni njia salama zaidi ya kuzuia mimba!!!
hahahaha! Jamaa inabidi awe anakula vitu natural sana kama dona nk, bila hivo ni ligi ngumu kama bundesliga!
Na kweli na kusingizia oooh sijui mama mdogo hajapenda niolewe ndo maana kanifunga kizazi kumbe mlisha jifunga wenyewe mnabaki kumaliza kucha za miguu kwa waganga kila siku.
Mganga anajilia majogoo tu....Na kweli na kusingizia oooh sijui mama mdogo hajapenda niolewe ndo maana kanifunga kizazi kumbe mlisha jifunga wenyewe mnabaki kumaliza kucha za miguu kwa waganga kila siku.
Kunywa maji baridi kila baada ya mchezo,mimba utaisikia na kuiona kwa jirani
Kunywa maji baridi kila baada ya mchezo,mimba utaisikia na kuiona kwa jirani
Mhhhhhhhhhh hapana Futa kaulii
wewe huoni kama hizo njia ni zaidi ya sumu??? eti majivu mmmmhhhh na ule ukakasi unaweza kukata roho ujue
hiii ndo sikubaliana nayo kabisa yani duuuDawa nyingine wakati wa Tendo mwanamke fumba machooo mimba utaziona kwaa wengine
hiii ndo sikubaliana nayo kabisa yani duuu
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu
Hahhhhaaaa mi nakupa dawaaaa ohoooi
Blue tulikuwa tunamwekea mbwa anayepandwa kwny msosi wake then badala ya kuzaa watoto wengi anazaa mmoja au wawili tu,then ukimix na jiki hazai kbs,I don recommend binadamu atumie hii si bure akaharibu kizazi...
hahah,madude makubwa mi sifagiliii alaf....
Btw hivi naniii hapendi hyo makitu???
Nikionacho ndani ya huu uzi ni vibinti vidogo vikipeana michapo ya uongo na uzinzi kwa jina la kuzuia ujauzito...