Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

mjinga hapa ataiga..kazi kweli kweli
Kuna hausigeli alituchanganya mpaka tukahisi ni mwanga. Alikuwa na rundo la mkaa ndani ilhali sisi tunatumia gesi. Isijekuwa naye alishadanganywa na hii sayansikimu.
 
Na kweli na kusingizia oooh sijui mama mdogo hajapenda niolewe ndo maana kanifunga kizazi kumbe mlisha jifunga wenyewe mnabaki kumaliza kucha za miguu kwa waganga kila siku.

Hahahaaa....
 
Na kweli na kusingizia oooh sijui mama mdogo hajapenda niolewe ndo maana kanifunga kizazi kumbe mlisha jifunga wenyewe mnabaki kumaliza kucha za miguu kwa waganga kila siku.
Mganga anajilia majogoo tu....
tena hataki ya kisasa anataka ya kienyeji
 
Kunywa maji baridi kila baada ya mchezo,mimba utaisikia na kuiona kwa jirani

Hii ni kweli,kuna mama mmoja aliwahi kuniambia wakati tunafanya utafiti wa maternal health and reproductive,alisema kila wakimaliza tendo anakunywa maji mengi ya baridi,ndiyo njia anayoitumia na mumewe kupanga uzazi,wako kwenye ndoa mwaka wa 8 sasa.
Kwa wale tuliotoka kwenye jamii ya wafugali kama mimi,nakumbuka nikiwa mdogo tukipeleka ng'ombe kwa dume,akishapandishwa tulikuwa tunaambiwa tuhakikishe yule ng'ombe hanywi maji mara tu baada ya kupandwa kwani akinywa maji mimba haishiki,so nadhani kuna uhusiano hapa
 
Dawa nyingine wakati wa Tendo mwanamke fumba machooo mimba utaziona kwaa wengine
 
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu

Blue tulikuwa tunamwekea mbwa anayepandwa kwny msosi wake then badala ya kuzaa watoto wengi anazaa mmoja au wawili tu,then ukimix na jiki hazai kbs,I don recommend binadamu atumie hii si bure akaharibu kizazi...
 
Hahhhhaaaa mi nakupa dawaaaa ohoooi

Dina sio vizuri hivyo uwe unajibu maramojamoja basi .Maana nimetuma kama mbili hivi tena za amani tu lakini hakuna majibu .sijui huwa hazikufikii hahhahhahhahhah.
 
Blue tulikuwa tunamwekea mbwa anayepandwa kwny msosi wake then badala ya kuzaa watoto wengi anazaa mmoja au wawili tu,then ukimix na jiki hazai kbs,I don recommend binadamu atumie hii si bure akaharibu kizazi...

Kweli hizi njia nyngne ni majanga
 
Back
Top Bottom