Dark City. Karibu kunako mwanga. Zungumza na watu.Hii njia huwa tunaitumia sana na mpenzi wangu miaka mitatu nyuma alikua ananiambia tutumie hii njia nikamwona kama ni chizi asiye elewa biology lakini niliamua kukubaliana nae akipata ujauzito iwe juu yake lakini hadi kesho sijaona kitumbo.haha mababu zetu walikua na akili kweli hata wazungu wanasubiri
Kongosho what happened? Majivu sio sumu. Yanatumika sana kwa watu wenye kiungulia. Au hujui hilo?
kuna dawa nyingi tu ambazo ni scientifically verified tunaweza kutumia hizo- postnor 2, metakelfin+ junior asprin, pia cyprofloxacin za U.T.I huwa zinaforce bleed kutoka thats why wajawazito hatuwapagi cypro endapo wakionekana wana UTI wao kuna dawba nyingne hupewa ambazo pia hutibu uti!! pia tunashauriwa kunywa maji ya baridiiiiii kabisa ikiwezekana yanayokaribia kuganda husafisha mbeguza kiume. asanteeeeee!
kiungulia ni mimba?
nilipoteza ndugu kwa uji nga huu huu. Lakini kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, nakisabahi tu babu.
A research of interest. Nipe muda nitakuja hapa na hilo....
Tunaacha misingi ya kwetu kwa kigezo cha sayansi za vitabuni. Anyway haya yote ni matokeo ya mifumo iliyopangwa, ikapandikizwa na tukakubali kuifuata.
Kwa umri wako na hekima zako ni mangapi ktk hii dunia unayaona au kuyasikia, ni ya kweli ktk maisha yako na unajua sayansi yake? Kati ya hayo unayojua umehakiki mangapi na kujiridhisha kuwa yanavyosemwa/kuandikwa ndivyo yalivyo?
changamoto mpya kwako mstaafu.
nilipoteza ndugu kwa uji nga huu huu. Lakini kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa, nakisabahi tu babu.
Dark City. Karibu kunako mwanga. Zungumza na watu.
Kwani mnashindwa nini kutuenzea mode of action ya majivu yenu?
Kwamba mmebahatisha mkaendelea kufurahia uzinzi siyo proof kwamba kuna kinga kwenye majivu. Au unataka kusemaje?
Kijana sijui hata kama mitihani yako ulikua unafaulu kweli nishasema sikulazimishi uniamini kuhusu hii tiba salama ya majivu kuzuia mimba 100%.sio sheria unifuatishe mm ila mm na mpenz wngu ndo njia pekee tunayo tumiaga kuzuia mimba miaka 4 yote ya uhusiano wetu tukiwa tuna fanya hili tendo.Na mpaka saiz tuna mtoto mmoja usije ukasema labda sisi ni wagumba.isitishe hata rafiki zangu wa karibu huwa wanatumia hii njia japo mwanzoni walikua ni wabishi kuelewa kama mm.
Mimi huwa sijui danger or safe day. Mood ukija tu, najipa. Majivu salama yanatenda miujiza
Believe it or not ila majivu ndo dawa ya jeuri ya mimba big up sana nilidhani najua mwenyewe kumbe hii siri imesambaa.
Tunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!
Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!
Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!
Kiboko cha yote ni fragyl + piriton hata ingekuwa siku ya 14.
Mmh! sasa mbona wakati napata ujauzito nilikuwa kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa natumia dozi ya calcium na glucosamine kwa ajili ya arthiritis lakini nilishika mimba? au neno "yamkini" lina-apply hapa?
Unazungumzia kutoa mimba
Dina sio vizuri hivyo uwe unajibu maramojamoja basi .Maana nimetuma kama mbili hivi tena za amani tu lakini hakuna majibu .sijui huwa hazikufikii hahhahhahhahhah.