Hapo kwenye blue ndipo umeonesha utoto wa kiwango cha juu. Nahitaji siafa za nini wakati hata jina ninalotumia hapa ni bandia?
Na kabla ya kusema hayo umejaribu kufuatilia mada ambazo huwa ninachangia na kujiridhisha kuwa unadeal na mtu wa namna gani?
You just need to do your homework before utter any word, especially if it can be offensive to your colleagues!
mheshimiwa Masaki ,suala la kujichukulia shria mikononi ni fano mkubwa ambao unaonyesha jinsi gani sheria imeoza nchini,angalia jeshi la police jinsi lilivyokuwa duni hawana communication ya kutosha ,magari na vyombo vingine vya mawasiliano vimeshindikana kupatikana kutoka kwa government hii inachangia sana kwa jeshi hilo kutofanya kazi zake kwa ufanisi zaidi,hapa wa kulaumiwa ni serikali na wla sio hao police kwani kama serikali ikihitaji watu hawa kufanya kazi zao kikamilifu watazifanya.Serkali lazima ifanye investment kubwa sana katika jeshi la usalama wa raia (police)kama walivyoinvest katika jeshi,kama kuna kijinchi kitakachojaribu kutuletea tabu basi9 hapo ndipo mtajionea jinsi gani imewekeza ndani ya jeshi letu,na vivyo hivyo inaweza ikafanyika kwa jeshi la police.Vibaka wote watakapoyeyukia hatutojua.
peace!!!
Hey dude respect yourself whether you stay in Songea or Dodoma she doesn't give a f.u.c.k usilazimishe kujibiwa ulichoandika kwenye pm na usilazimishe urafiki sasa umevuka mipaka
Tunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!
Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!
Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!
Hakuna dawa nzuri zaidi ya kalenda. Mm mke wangu anatumia kalenda kwa sasa ni mwaka 4 toka ajifungue.
Hbr wakuu wote jamvini....
Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,
1. Weka majivu nusu glass
2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi
3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri
4. Acha maji yajitenge na majivu
5. Kunywa maji ya juu
Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza 7bisha tumbo kuuma kwa muda mfupi. Juice ina ukakasi/uchachu.
Wewe wajua kinga ipi ya asili? Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa
Mkuu Barasu umeeleza vizuri sana,,lakini ss hiyo pH inapoongezeka inazuia vp mimba isitunge?
Na pia unywaji wa maji yenye hiyo calcium hauna madhara yoyote kwa mwili wa binadamu?
Mtadanganyana sana hii haina tofauti na wale wanaokimbilia kuosha wakiamini wanatoa mbegu,,hakuna uhusiano wowowte wa kisayansi uliopo kati ya hiyo juice na kuzuia mimba ikishaingia imeingia labda unywe vidonge vya majira vile ule mstari wenye nyekundu wootee itaharibu kilichoingia na isizidi masaa 24 tangu ziingie mbegu... (hii ilikuwa miaka ile ya 2000 mwanzoni tukijifunza sijui siku hizi zinafananaje hizo dawa) Njia ingine rahisi na isiyo na gharama yeyote ni kalenda tuu hesabu siku ya kwanza uliyoingia hedhi hadi siku ya tisa hizi ni siku salama kabisa baada ya hapo siku ya 11-18 ni danger zone kuwa mpole tu vumilia tumia kondomu au amwage nje na asirudi tena hadi baada ya masaa matatu(kwa wenye uwezo wa kuwa sharp kuchomoa) siku ya 19 hadi mzunguko wa hedhi unapoanza kanyaga twende mzigo salama kabisaaaaaaaa.. Hii inawafaa wana ndoa zaidi ila kwa wale wa kuviziana tumieni tuu utaratibu wa kondomu maana hutaweza kushika hesabu za tarehe sawasawa fikiria una hadija, maria, juma, naomi, britney,rihanna,bobby utamkumbuka yupi na hizo tarehe.... tulizana kuwa na mmoja
Mtadanganyana sana hii haina tofauti na wale wanaokimbilia kuosha wakiamini wanatoa mbegu,,hakuna uhusiano wowowte wa kisayansi uliopo kati ya hiyo juice na kuzuia mimba ikishaingia imeingia labda unywe vidonge vya majira vile ule mstari wenye nyekundu wootee itaharibu kilichoingia na isizidi masaa 24 tangu ziingie mbegu... (hii ilikuwa miaka ile ya 2000 mwanzoni tukijifunza sijui siku hizi zinafananaje hizo dawa) Njia ingine rahisi na isiyo na gharama yeyote ni kalenda tuu hesabu siku ya kwanza uliyoingia hedhi hadi siku ya tisa hizi ni siku salama kabisa baada ya hapo siku ya 11-18 ni danger zone kuwa mpole tu vumilia tumia kondomu au amwage nje na asirudi tena hadi baada ya masaa matatu(kwa wenye uwezo wa kuwa sharp kuchomoa) siku ya 19 hadi mzunguko wa hedhi unapoanza kanyaga twende mzigo salama kabisaaaaaaaa.. Hii inawafaa wana ndoa zaidi ila kwa wale wa kuviziana tumieni tuu utaratibu wa kondomu maana hutaweza kushika hesabu za tarehe sawasawa fikiria una hadija, maria, juma, naomi, britney,rihanna,bobby utamkumbuka yupi na hizo tarehe.... tulizana kuwa na mmoja
Mkuu hii nitaijaribu ila nataka kujua hiyo juisi unaitumia kila baada ya muda gani, yani baada gemu ya usiku mmoja au?
Mana wengine hatujaoa ss unaeza kumleta mtu toka zenji huko ukakaa nae siku 2 au 3 unakamua tu,ss hapo utatumia majivu kwa range ya muda gani?
Tumia baada ya game kumalizika. (Ndani ya Massa 24 baada ya goli la kwanza). Au Aweza kunywa ndo mkaanza kamchezo.
Kuna watu wanatumia therapy ya mkojo kwa magonjwa na chunusi. Kuna wanawake wameenda mbali na kutumia therapy ya MP blood kuondoa chunusi, ni aina za fikra tu, hata kama hazina ukweli.
Sasa hivi dengue watu wanaambizana therapy ya majani ya mapapai, wakati kuna tetesi yule daktari wa akili aliyefariki ilikuwa ni sababu ya therapy hii.
Sasa kujaribu kupata majibu hapa, sijui.
kama unarudi vaa kondomu kwakuwa kuna mabaki ya mbegu kwenye mirija chomeka chomoa itazisukuma na kuingia ukeni baada ya masaa 3 kuna usalama kwakuwa mabaki yanayeyuka sasa wewe jifanye unarudi baada ya dk 5 uombwe malimao mwisho wa mweziumesema akishachomoa asirudi tena hadi baada ya masaa matatu, vipi nikichomoa na kirudi baada ya dk 5?
Hapo balidaah,,itabd ntafute jiko la mkaa ss,,au naweza ht kuchkua majivu kwa wapika viepe?
Dawa zimetengenezwa kwaajili ya kumezwa kuzuia tu haijaandikwa popote kuwa zinaweza toa ila ni uchakaramu tu na utukutu wetu ndo tumevumbua hivyoHizo dawa za kizungu (pills) zinafanyaje kazi? Unameza ila zinazuia.... mechanism please. Au kwa kuwa mzungu kasema na kuandika?
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....
Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.