finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
HIVI KWA NINI MLIKIMBIA BIOLOGY????
MASWALA YA KUANGAIKA MAJIVU AMBAYO PRACTICALLY YANAENDA KUREACT NA KIZAZI MAANA NDO ENEO LA TUKIO(according to mleta mada) USIJARIBU JARIBU MADUDE KWENYE KIZAZI EBOOO
tumia KALENDA UELEWE MWILI WAKO KWANZA THEN USE KALENDA LAKINI ujaolewa bado unaanza kuangaika nani kakwambia natural way ni majivu??? natural way ni kalenda tu
HUJAOLEWA DONT DO IT OR USE CONDOM
UKIOLEWA USE KALENDA
Mimi naijua ya kunywa sumu ya panya dakika 3 kabla ya tendo.....
Habari wakuu wote jamvini....
Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,
1. Weka majivu nusu glass
2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi
3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri
4. Acha maji yajitenge na majivu
5. Kunywa maji ya juu
Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza sababisha tumbo kuuma kwa muda mfupi.
Juice ina ukakasi/uchachu.
Wewe wajua kinga ipi ya asili?
Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa
==============
=========
April 18, 2015:
Majivu lazima yatakuwa na carbon tu,na carbon inaleta KANSA.kwahiyo tutazuia mimba kisha tutaleta kansa.njia ya tarehe is the best ever!Ndani ya mwezi(siku 30) namuacha period siku 3,plus na zile 7 za yai kushuka=siku 10.kisha siku 20 najivinjari usiku na mchana,Mungu anipe nini?
Kinga ya asili ni kuacha uasherati
Mimi naijua ya kunywa sumu ya panya dakika 3 kabla ya tendo.....
Majivu lazima yatakuwa na carbon tu,na carbon inaleta KANSA.kwahiyo tutazuia mimba kisha tutaleta kansa.njia ya tarehe is the best ever!Ndani ya mwezi(siku 30) namuacha period siku 3,plus na zile 7 za yai kushuka=siku 10.kisha siku 20 najivinjari usiku na mchana,Mungu anipe nini?
Kiongoz apa cjakuelewa …! Kwamba siku 20 zote anakuwa salama?
Wakuu!nna mpnz wng ambae wte 2mepima na 2po salama,na ikitokea 2mefanya mapnz ktk cku zake za hatar hutumia majivu ndan ya masaa72 kuepusha kushka mimba,na ni mwaka sasa npo nae na haijawah tokea akashka..njiaa hii anadai alifundshwa na shangaz yke ambae nae hui2mia bdala ya vdonge vya uzaz wa mpango.. SWALI:kuna uthibtisho wwte wa ktabibu juu ya matumiz ya majiv ktk kuzuia mimba?je hakuna madhara yyte kiafya?kipimo huweka vjiko vi3 vy majivu ktk glas ya maj na kukoroga kisha hunywa glass3 kw wakat mmja...naombeni majibu ya ktaalamu
Siku ya kwanza ni ile aliyoanza period.chukulia kuwa anaenda period kwa siku 3.
{1,2,3}anakuwa kwenye hedhi.
{4,5,6,7,8,9,10}unaweza kufanya tendo.ila siku ya 10 sio salama sana.
{11,12,13,14,15,16,17}siku za hatari.
{18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28}unaweza kufanya tendo
NB:Hesabu hizo siku salama zinakaribia 20.