Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Vipi kama mama yako angetumia majivu kuzuia mimba yako,LEO UNGEANDIKA UPUUZI HUU?

acha jinga hii.
Badilika

Kati yangu mm na ww nani mjinga???? Mjinga wewee uliyokuja kukoment kwenye uzi wa kijinga. ....au kwenu mmezaliwa kama panya?
 
Kupostosha.??? Kuna aliyeitwa au kulazimishwa kusoma. ...wewe kama ni mtoto kachezee vikopo na watoto wenzio sio kukurupukia mambo ya kikubwa

Jioni nakufuata na defender pale hongera / Ambiase unapojianikaga ukae ndani masaa 48 kwa kupotosha watoto, ndo utanijua mimi nani!
 
Wewe unasema miti inasumu je na dawa na sindano za hospital je??

ni kweli majivu yanaweza kuwa na sumu kutokana na active ingredients zilizoko kwenye miti husika iliyotumika kutengeneza mkaa ama izo kuni.

mara nyingi sana organic polymers zikiungua huweza kauwa sumu kutokna na aina ya combustion lkn pia na aina ya reaction inayotokana na moto husika.

majivu ni alkali in nature so huweza pia kuongeza kias cha alkalinity mwilin na hivyo ku impair kazi za HCL tumbon kwa kui neutralize . Hii huweza kusababisha tumbo kupata matatizo kwenye usagaj wa chakula na pia kukaribisha vijidudu vilivyoliwa kwenye chakula kuweza kuish tumbon na kumletea mlaj madhara
 
Jioni nakufuata na defender pale hongera / Ambiase unapojianikaga ukae ndani masaa 48 kwa kupotosha watoto, ndo utanijua mimi nani!

Hahahaaaa kweli jf tumekua na watoto wengi sikuiz. ....dua la kuku hilooo ....nikujue halafu unisaidie nn
 
Kati yangu mm na ww nani mjinga???? Mjinga wewee uliyokuja kukoment kwenye uzi wa kijinga. ....au kwenu mmezaliwa kama panya?

Tuko watatu, tumepishashana miaka 3,3.
Na wazee walitumia kalenda sio majivu.

Msomi mzima utumie majivu/vidonge,sindano,vitanzi.
Ndio maana mwisho wa siku mnapoteza vizazi bila kutegemea!

So sorry kama nimekukera!
 
Tuko watatu, tumepishashana miaka 3,3.
Na wazee walitumia kalenda sio majivu.

Msomi mzima utumie majivu/vidonge,sindano,vitanzi.
Ndio maana mwisho wa siku mnapoteza vizazi bila kutegemea!

So sorry kama nimekukera!

We unazan wanaozaa ovyoo hawatumii kalenda wanatumia sana tu na mwisho wa siku wanapata mimba.....
 
We unazan wanaozaa ovyoo hawatumii kalenda wanatumia sana tu na mwisho wa siku wanapata mimba.....

Ukitumia kalenda kalenda kama huna/hujapata matatizo/maradhi/msongo huwezi zaa hovyo.

NA NI VIZURI KWA WANANDOA KUMUOANA DAKTARI KWA MSAADA.maana mzunguko wa Jane unaweza usiwe sawa na rehema.

Walevi,wazinzi hao wengi ndio wanao zaa hovyo!
 
Tuelezee ni kwa jinsi gani hiyo 'majivu solution' inaweza kuzuia mimba,usisahau na madhara yake na ni mtu mwenye hali gani haruhusiwi kutumia

Sweetheart
 
Last edited by a moderator:
Explain kwa nini familia nyingi zenye watoto lukuki ni masikini...Explain kwa nini idadi ya watu ikizidi mahali (overpopulation) hilo eneo linakuwa na maendeleo duni..Explain kwa nini familia zinazopanga uzazi wa mpango zinakuwa na watoto wenye afya na akili as compared to familia za "kipemba"? na lastly explain kwa nini jamii za watu wanaokumbatia habari ya "kila mtoto huja na riziki yake" ndo zilag behind kielimu, kiuchumi na kila kitu? usiniambie hazina Mungu!!!

Inamaana mzee family za kipemba hazina akili?? Izo ni chuki au?? Dahh matusi ayo jamani. Taratibuni jamani.
 
Wazima wanajf? jamani eti kweli ukikoroga majivu ukanywa baada ya kufanya sex yanazuia ucpate ujauzito?Na hayana madhara?
 
Ha ha ha umenasa?,kwa nini usizuie kabla?,huo Ni uuwaji mrembo!,zaa bhana huwezi jua huenda akawa Presda siku zijazo!...kwa kukusaidia tu mwone dk akupe ushauri wa kitaalamu..
 
mwe! ni bora muwaone wataalamu kwa ushauri wa kitaalamu zaidi, ila kwa upande wangu sikushauri maana hapo hatujui side effect ya hayo majivu, mtakuta mwishowe mnatoboa vizazi bure, na kwanini muwaze majivu na wakati kuna njia nyingi tu salama.
 
Back
Top Bottom