Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

TIQO ndo nikaitwa mama wa huyu binti wangu wa pekee,hata ningempata kwa mume mwingine nje ya ndoa nisingeflash.
 
da

lol..wewe ni noma, labda hiyo nyingine maana hii ya popo inatisha kidogo
 

Kuna wengine wanaingia mara mbili kwa mwezi. Kwa maana kwamba kama wakifuata mzunguko, ngono bila condomu ni siku tano za mwezi! Hayo maelezo yako hayajitosherezi.
 
da

lol..wewe ni noma, labda hiyo nyingine maana hii ya popo inatisha kidogo
Bibie Meljons tumia njia hii rahisi
Nunuwa Shabu kidogo japo punje moja weka sehemu zako za siri kwenye utupu wako kila unapotaka kukutana na mume

wako kisha fanya mapenzi nae hutoshika mimba kamwe. Jaribu kisha uje unipe feedback.
 
Bibie Meljons tumia njia hii rahisi
Nunuwa Shabu kidogo japo punje moja weka sehemu zako za siri kwenye utupu wako kila unapotaka kukutana na mume

wako kisha fanya mapenzi nae hutoshika mimba kamwe. Jaribu kisha uje unipe feedback.

Umekuwa OBGYN siku hizi? Hongera sana
 
best hujaielewa hiyo dawa ya dr MziziMkavu. Yaani ili kuzuia mimba, memsahib na wewe mnakula maisha kwa raha zenu as long as umechinja popo, a kichwa chake uaweka chini ya pillow. ila angalia ukinogewa usije ukatupa pillow hukoo, kitakatikia ghafla.
Mhhhh! Haya banaa Best angalia lakini usije ukafunguliwa law suit baada ya wateja wako kulalamika puchipuchi haina utamu tena. Si unazijua njemba hazikawii kulalamika hi puchipuchi ni aje mbona imekuwa midabwada!?

 
Last edited by a moderator:
mwaamke anaeambiwa anaingia hedhi mara mbili kwa mwezi haimaanishi i kila baada ya wiki 2. kama mzunguko i siku 28, akianza tarehe 1, ataanza tea siku zake tarehe 29. Kama mwezi una siku 31 na yeye anapata siku 3, atamaliza tarehe 31. Japo ni mara mbili kwa mwezi lakini muda unaruhusu kufanya hesabu sawasawa.
Kuna wengine wanaingia mara mbili kwa mwezi. Kwa maana kwamba kama wakifuata mzunguko, ngono bila condomu ni siku tano za mwezi! Hayo maelezo yako hayajitosherezi.
 
huu ushauri kama wa mganga wa kienyeji, lol!
 
kikate hiko kisababishi basi utakuwa save. au kiwekee cement funga kabisa.
 
Hii leo maalim Mzizimkavu umetoa kinga ngumu kichwa cha popo dah,awe mzima ndo ukate kichwa au ata aliekufa
CC Mzizimkavu
"VV"
 
Haya bana anza kutafuta wateja Best lol!

best hujaielewa hiyo dawa ya dr MziziMkavu. Yaani ili kuzuia mimba, memsahib na wewe mnakula maisha kwa raha zenu as long as umechinja popo, a kichwa chake uaweka chini ya pillow. ila angalia ukinogewa usije ukatupa pillow hukoo, kitakatikia ghafla.
 
Hii leo maalim Mzizimkavu umetoa kinga ngumu kichwa cha popo dah,awe mzima ndo ukate kichwa au ata aliekufa
CC Mzizimkavu
"VV"
Mkuu MALICK MUSSA Kinachotakikana ni kichwa cha popo ukikate hata aliye kufa pia unaweza kukitaka kichwa chake ukaweka chini ya mto wa kulalia kwa ndani yake (Pillow) Basi dume hata akifanya ufundi wa aina gani mwanamke au mke wake hawezi kushika mimba kamwe Tumia kisha uje hapa unipe Feedback. Chanzo ni Chemical MziziMkavu Hauchimbwi Dawa.



Mto wa kulalia au kwa kiingereza unaitwa Pillow una siri kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…