Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Mzizi Mkavu mbona mshine ndio inakuwa nta? yaani hata nikiupaka mkuyati wangu hautaingia ila ni kumfumua bikra tena.
labda ufafanue inauauaje mbegu? maana tutachunana na kale ka kirus katakuja
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu MziziMkavu napata tabu kuhusisha mechanism of action katika kuzuia mimba, bado tunajifunza sana pia, hebu wengine King'asti, ZeMarcopolo, meningitis, Erythrocyte, @Dr Riwa naombeni jumuikeni huku

mkuu haya mambo ya tiba mbadala yanatuzidi nguvu sana ...inawezekana ni kwa sababu ya ethics zetu zinakataza kujitangaza wakati wenzetu kujitangaza ndio kitu cha kwanza.
 

Sasa Mzizi kwenye mimba kuna mambo ya kujarib ikinasa si imenasa??
Na hizo shaibu antumbukiza au anaweka juu juu, na inaonekana ni kama punje za chumvi hazitawachubua wakati wa shughul ??
 
Last edited by a moderator:
Mzizi Mkavu mbona mshine ndio inakuwa nta? yaani hata nikiupaka mkuyati wangu hautaingia ila ni kumfumua bikra tena.
labda ufafanue inauauaje mbegu? maana tutachunana na kale ka kirus katakuja
Mkuu Ukwaju Shabu hiyo akitia mwanamke kwenye uchi wake kabla ya kufanya tendo la ndoa mwanamme anapomfanya akitoa shahawa zake hiyo shabu kazi yake inauwa zile mbegu za kiume zisiweze kufikia yai la huyo mwanammke kushika mimba hiyo ndio kazi yake shabu mkuu upo pamoja na mimi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu... hiyo shabu haina madhara yeyote nikitumbukiza kunako naniliu????
Bibie kipenzi charminglady wewe unavyofikiri nitakupa Dawa ya sumu mimi MziziMkavu? khaaa jaribu tu kutumia uweke wakati unafanya tendo la mapenzi itayeyeyuka wakati mnafanya mapenzi na shemeji yangu ningelikuwepo mimi ningelikwambia tufanye test nimefunga bibie ninakutania usikasirike.
 
Last edited by a moderator:
duuh,sijawahi kusikia hizi njia..nahisi ni maswala ya imani zaidi maana popo chini ya mto na mimba wapi na wapi..
Mkuu Lorisy Elimu hiyo nimeipata Miaka 2000 kabla ya kuja Bwana YESU Kristo huwezi kupata kwenye kitabu chochote kile hata Babu wa Lolilondo hana Elimu hiyo Mkuu lorisy, hiyo ni Elimu ya Sayansi na Teknolojia Ya Tiba Mbadala huwezi kuipata ovyovyo hata Ma-Daktari hawawezi kuipata elimu hiyo.
 
Umeona eeh? Hilo la popo hata mie limenishtua sana
Mkuu Idimi Dawa zipo nyingi tu nyinyi mumezoea Dawa za kizungu Asprin, Panadol na kadhalika sisi wengine tumezoea Dawa zetu za Asili ya Sayansi na Teknolojia ya Tiba Mbadala Huwezi kupata Elimu hiyo mpaka uende kozi ya miaka 10 Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu ina maana hiy shabu whatever you call it inafanya kazi kama spermicides?? nadhani twahitaji kujifunza hii zaidi... King'asti, meningitis, ZeMarcopolo, Riwa kujeni pande hizi
 
Last edited by a moderator:
ofcoz itakuwa spermicide manake ni kemikali. lakini sidhani kama ni sahihi manake hiyo ph ya ukeni inajitosheleza na kuingiza vitu vingine hukawii kuharibu utamu.

mie huwa siafiki vitu visivyofanyiwa tafiti. kama anataka spermicide zinauzwa phamacy nadhani kwa jina hilo hilo
Mkuu MziziMkavu ina maana hiy shabu whatever you call it inafanya kazi kama spermicides?? nadhani twahitaji kujifunza hii zaidi... King'asti, meningitis, ZeMarcopolo, Riwa kujeni pande hizi
 
Natafuta dawa ya kutowa mimba. Mkewangu amenasa mimba akiwa anamtoto wa miezi mitatu. Niaibu lakini imekuwa badi lak nawaombeni, mnishauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…