Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....

Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.

Kweli Wewe km jina lako hapo juu... tangu umeanza kula beans mpaka Leo. Unanukia beans?
 
HIVI KWA NINI MLIKIMBIA BIOLOGY????

MASWALA YA KUANGAIKA MAJIVU AMBAYO PRACTICALLY YANAENDA KUREACT NA KIZAZI MAANA NDO ENEO LA TUKIO(according to mleta mada) USIJARIBU JARIBU MADUDE KWENYE KIZAZI EBOOO
tumia KALENDA UELEWE MWILI WAKO KWANZA THEN USE KALENDA LAKINI ujaolewa bado unaanza kuangaika nani kakwambia natural way ni majivu??? natural way ni kalenda tu

HUJAOLEWA DONT DO IT OR USE CONDOM

UKIOLEWA USE KALENDA

Wazungu wakiijua watakuletea kwenye vitabu usome. Then utaipigia upatu km iyo kalenda
 
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu
 
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu

Hii ni kutoa mimba
 
Shosti nyingine kiboko kizazi kinaweza kupotea kama ndege ya Malaysia
Ntafuatilia hii post hadi kieleweke uuuwi

Mi ngoja nfuatilie mbegu za papai kuleee Ayurveda(sp????)
 
Leo hatoki mtu tusubiri atueleze vzur

Hii ya papai huyo mama alisema ametumia for ten years.... lol nilimis details...sijui nimtafute Facebook?
Nimewahi mwuliza sister akaniambia ye hakutilia maanani so hakumbuki.... I really hate hizi za hospital and sitajaribu asilani kuzitumia
 
Back
Top Bottom