Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,829
serious??? uko matataniUliza wazee wa zamani walitumia nini?! Ongea na wazee ujifunze hekima zao.
Mimi natumia hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serious??? uko matataniUliza wazee wa zamani walitumia nini?! Ongea na wazee ujifunze hekima zao.
Mimi natumia hii
Unazitumiaje??? Wish to know this too
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....
Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.
Iuuupsi kulaleki hii mpya machoni mwangu
HIVI KWA NINI MLIKIMBIA BIOLOGY????
MASWALA YA KUANGAIKA MAJIVU AMBAYO PRACTICALLY YANAENDA KUREACT NA KIZAZI MAANA NDO ENEO LA TUKIO(according to mleta mada) USIJARIBU JARIBU MADUDE KWENYE KIZAZI EBOOO
tumia KALENDA UELEWE MWILI WAKO KWANZA THEN USE KALENDA LAKINI ujaolewa bado unaanza kuangaika nani kakwambia natural way ni majivu??? natural way ni kalenda tu
HUJAOLEWA DONT DO IT OR USE CONDOM
UKIOLEWA USE KALENDA
serious??? uko matatani
Alikaataga kuniambia by that time akasema mi mdogo.
Nilisikia alikua anamwambia sister
Kumbe hamtaki watoto!!
Kumbe hamtaki watoto!!
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu
Is this true? Ubaridi unapishana. Ubaridi upi hasa?
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu
Duuuh hii kiboko
Shosti nyingine kiboko kizazi kinaweza kupotea kama ndege ya Malaysia
Ntafuatilia hii post hadi kieleweke uuuwi
Mi ngoja nfuatilie mbegu za papai kuleee Ayurveda(sp????)
achomoe
Mi ngoja nfuatilie mbegu za papai kuleee Ayurveda(sp????)
Leo hatoki mtu tusubiri atueleze vzur