charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,992
Hii ni kutoa mimba
Ndio HVO nlisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kutoa mimba
Hii ya papai huyo mama alisema ametumia for ten years.... lol nilimis details...sijui nimtafute Facebook?
Nimewahi mwuliza sister akaniambia ye hakutilia maanani so hakumbuki.... I really hate hizi za hospital and sitajaribu asilani kuzitumia
Hii ya papai huyo mama alisema ametumia for ten years.... lol nilimis details...sijui nimtafute Facebook?
Nimewahi mwuliza sister akaniambia ye hakutilia maanani so hakumbuki.... I really hate hizi za hospital and sitajaribu asilani kuzitumia
Km dada kaolewa na Wewe bado hawezi kwambia
Ndio HVO nlisikia
Inabid umtafute au umuulize dada ako ....kuna umuhimu wa kujua njia asilia walizotumia mama na bbi zetu kupanga uzazi kwa maana nawaza sana pindi ntakapoolewa itakuweje
Za hospital sio nzuri wanawake weng wanalalamika
Duuuh hii kiboko
Mnh Vitu vingine sio vya majaribio dada. mfano umemeza afu havijafanya kazi means mimba ishaingia sijui utafanyaje?kumbe nazo zinasaidia. Thanx my dia maana hata sikuwa najua
Bora tu aseme maana ataniepushia Moja. Haisaidii kutokuniambia maana nna do...sasa which is better?
Shikamoo mwalimu Wang wa biology
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....
Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.
Ila pia IPO ya kunywa flagly ukitoka kudoo ukihisi mimba..il a nayo cjawahi kuifuatilia..kaa na watu ujue ya watu tatiana
Hasemi labda muwe mmeshibana saaanaaaa.... au anachukulia vitu simpo. Wekeza kuongea na kuhoji watu wazima, utajua mengi.
mhh hapo tuwe tunafahamiana muda kidogo,..mana ts risky
We bado hujaanza pia? Hata NATUMIA VIMFUKO VYEUPE
..
..Watu mnahangaikaaaa...tigo ndio njia sahihi na salama kiafya kuzuia mimba...ukipata mimba kupitia tigo...ni pm..10million natoa...!!!