Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

masai dada aliniambia nikikuona nikusalimie basi kwa kuwa nimekuona wacha nizifikishe salama mambo vipi mzima weye.mimi mzima basi nakuacha na ujumbe usimao SIO VIZURI KUVUJISHA PM za SALAMU HUMU KWANI WEWE HUPENDI KUSALIMIWA TU.INASIKITISHA SANA KWAKWELI KUmfuatilia Mtu Ambaye Hakufuatilii Kumjali Mtu Ambaye Hakujali ,kumpenda Mtu Ambaye Hakupendi ,kuongea Na Mtu Ambaye Hakusikilizi .HII MIKOSI KATIKA MAISHA YANGU SIJUI ITAISHA LINI.[/QUOTE

Sina sauti mbele ya mme wangu afanyacho kwangu ni furaha yangu pm zote zitumwazo huziona kwa hiyo mtu chake lazima anilinde na majambazii ya humu,
Mke wa mtu ni sumu"
 
Last edited by a moderator:
masai dada aliniambia nikikuona nikusalimie basi kwa kuwa nimekuona wacha nizifikishe salama mambo vipi mzima weye.mimi mzima basi nakuacha na ujumbe usimao SIO VIZURI KUVUJISHA PM za SALAMU HUMU KWANI WEWE HUPENDI KUSALIMIWA TU.INASIKITISHA SANA KWAKWELI KUmfuatilia Mtu Ambaye Hakufuatilii Kumjali Mtu Ambaye Hakujali ,kumpenda Mtu Ambaye Hakupendi ,kuongea Na Mtu Ambaye Hakusikilizi .HII MIKOSI KATIKA MAISHA YANGU SIJUI ITAISHA LINI.[/QUOTE

Sina sauti mbele ya mme wangu afanyacho kwangu ni furaha yangu pm zote zitumwazo huziona kwa hiyo mtu chake lazima anilinde na majambazii ya humu,
Mke wa mtu ni sumu"

Kama mke wa MTU sumu mie namkaribisha na maZiwa
 
Last edited by a moderator:
masai dada aliniambia nikikuona nikusalimie basi kwa kuwa nimekuona wacha nizifikishe salama mambo vipi mzima weye.mimi mzima basi nakuacha na ujumbe usimao SIO VIZURI KUVUJISHA PM za SALAMU HUMU KWANI WEWE HUPENDI KUSALIMIWA TU.INASIKITISHA SANA KWAKWELI KUmfuatilia Mtu Ambaye Hakufuatilii Kumjali Mtu Ambaye Hakujali ,kumpenda Mtu Ambaye Hakupendi ,kuongea Na Mtu Ambaye Hakusikilizi .HII MIKOSI KATIKA MAISHA YANGU SIJUI ITAISHA LINI.[/QUOTE

Sina sauti mbele ya mme wangu afanyacho kwangu ni furaha yangu pm zote zitumwazo huziona kwa hiyo mtu chake lazima anilinde na majambazii ya humu,
Mke wa mtu ni sumu"

Basi naomba tuwasiliane kwa njia ya facebook .Maana kuna kitu special nataka kukwambia ni PM jina la akaunti yako ya facebook na usi save send message isije ikaonekana.fanya hivyo basi dina. USIKATAE WITO KATAA NENO.
 
Last edited by a moderator:
Habari wapendwa

Naomba maelekezo na ushuhuda ikiwezekana namna ya kutumia mbegu za mnyonyo kuzuia mimba.

Please msaada
 
Nimezikopi sehemu ila swala la kuzuia mimba sijaliona sehemu.


[h=3]ZIJUE FAIDA MBALIMBALI ZA MTI WA MNYONYO[/h]






Mti wa mnyonyo una faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Karibu kila kitu kinachopatikana kwenye mmea wa mnyonyo kina faida za kiafya kwa mwanadamu.


Majani ya nyonyo ni tiba ya kifua kikuu na mizizi yake ni dawa ya mafindofindo, kuungua, macho yanjano, uvimbe, koo, kisonono na kaswende.


Kikonyo chake ni dawa ya kwikwi.


JINSI YA KUTUMIA MMEA WA MNYONYO KUJITIBU MAGONJWA & MATATIZO MBALIMBALI YA KIAFYA.


i. Kwikwi :


Jaza maji kwenye kikonyo, mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe.


ii. Kuungua :


Meza punje za mti wa nyonyo kwa maji kiasi cha glasi moja kwa siku kwa muda wa siku tano.


iii. Kutibu miguu inayo uma :


Tumia majani kwa kufungia miguu inayouma.


iv. Maumivu Ya Mgongo :
v. Majani yake ukiyapasha moto yafaa kukanda mgongo wenye maumivu.


vi. Kutibu Kaswende na Kisonono :


Ponda mizizi ya mti wa mnyonyo, kisha chemsha na tumia kunywa glasi moja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.


vii. Kuondoa Kondo La Nyuma :

Mizizi ya mti wa mnyonyo ikitafunwa na mama mjamzito yafaa kwa kutoa mfuko wa uzazi ( kondo la nyuma ) kwa urahisi na usalama zaidi.
 
Mm ni mtumiaji wa nyonyo zaidi ya miaka 6, matumizi; cku ya kwanza ya bleed unameza mbegu 2 nyekundu na zina mabaka meupe menya ili kurahisisha uyeyukaji. NB; Nilikosea mwaka wa 3 toka nianze nikanywa ck ya mwisho ya bleed nilibeba mimba kunywa kwa wakat
 
Mm ni mtumiaji wa nyonyo zaidi ya miaka 6, matumizi; cku ya kwanza ya bleed unameza mbegu 2 nyekundu na zina mabaka meupe menya ili kurahisisha uyeyukaji. NB; Nilikosea mwaka wa 3 toka nianze nikanywa ck ya mwisho ya bleed nilibeba mimba kunywa kwa wakat

Huyo mtoto mpe jina la mnyonyo.
 
Habari wapendwa

Naomba maelekezo na ushuhuda ikiwezekana namna ya kutumia mbegu za mnyonyo kuzuia mimba.

Please msaada
Njia ya Kwanza: Kupanga Uzazi Unaweza kutumia mbegu ya mnyonyo 1 kwa ajili ya kuzuia mimba kwa muda

wa mwezi mmoja . Unafanya hivi unapo maliza siku zako za hedhi ukisha oga kuwa msafi twanga

mbegu 1 ya mnyonyo kisha unywe na maji utaweza kuzuia mimba isiweze kukuingia kwa muda

wa mwezi mmoja utakuwa unafanya hivyo kila mwezi unapokuwa upo msafi. Tafadhali usile

mbegu ya mnyonyo zaidi ya moja ni sumu unaweza kudhurika au kupoteza hata maisha yako.



Njia ya Pili: ya kupanga uzazi

kwani yana kiasi fulani cha sumu ya protini ijulikanayo kitaalamu kama ricin ambayo ikitumiwa kwa kiasi

kidogo huharibu utungo, huweza pia kutumiwa kama mafuta ya kupaka ama losheni katika sehemu za siri



ili kuua mbegu za uzazi za kiume wakati wa tendo la kujamiiana. Uzazi wa mpango. Kwa maelezo zaidi na maswali unaweza pia kunitembelea blog yangu bonyeza hapa
http://mzizi-mkavu.blogspot.com.tr/2014/04/faida-mbalimbali-za-mti-wa-mnyonyo.html
 

Attachments

  • k9200-2i.jpg
    k9200-2i.jpg
    14.6 KB · Views: 251
hii thread ilipata wachangiaji wengi plz jaman tupeni mrejesho ili nami niitumie!?
 
jamani mliotumia hii njia, plizzzz......leteni mrejesho ili niingie kazini!
 
Leo hatoki mtu tusubiri atueleze vzur

Mkiona mpaka hii mada inafikia mwisho hamjapata ufafanuzi juu ya hizo mbegu za papai,nyie okoteni tu hizo mbegu popote muwe mnatafuna tu kama karanga kila siku.Mtafanyaje sasa kama maelekezo ya dawa mmeyakosa?
 
hivi mnayafahamu vizuri majivu? hahahahaaaaa hatar nusu kifo looo
 
Mkiona mpaka hii mada inafikia mwisho hamjapata ufafanuzi juu ya hizo mbegu za papai,nyie okoteni tu hizo mbegu popote muwe mnatafuna tu kama karanga kila siku.Mtafanyaje sasa kama maelekezo ya dawa mmeyakosa?

mbegu za papai?? mmmhhh na uchungu ule nani atafune kama karanga??? yatakuwa mateso bila chuki
 
Back
Top Bottom