Njia za kudumu zinazoweza kutumiwa na TRA kuhakikisha watu wengi wanalipa kodi nchini

Njia za kudumu zinazoweza kutumiwa na TRA kuhakikisha watu wengi wanalipa kodi nchini

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
Ukifuatilia Takwimu, utasikia TRA wanadai idadi ya walipa kodi nchi hii ni ndogo sana licha ya nguvu nyingi zinazotumika ikiwemo masuala ya TaskForce, kuhakikisha watu wanadai receipts na matumizi ya EFD machines.

Kwa njia hizo, ni kweli kabisa idadi ya walipakodi itaendelea kuwa ndogo. Nini kifanyike?

1) Tujipe malengo ya miaka hata 10 kuboresha na kuunda upya mifumo ya ulipaji kodi ili iwe ya kidijitali. Mifumo hii ina gharama kubwa, lakini ndio njia sahihi zaidi.

2) Hii inamana pia kuwa tutengeneze mifumo na kuhama kutoka kwenye matumizi ya cash na kuwa ya ki-electronic. Ukienda dukani unalipa kwa kadi yako badala ya kushika mipesa mkononi. Hii inamaana gani? Hii inamaana kuwa endapo kutakuwa na idadi kubwa ya watu wanaolipa kwa card za malipo au kadi za banks, VAT itakuwa inatozwa moja kwa moja na itakuwa rahisi kufahamu kipato cha mfanyabiashara kuliko ilivyo sasa ambapo kodi inakadiriwa na makadirio hayo yanaweza yasiwe sahihi.

3) Ukifuatilia kwa karibu, kundi pekee la watu wanaolipa kodi ya kipato (income tax) nchi hii kwa haki ni kundi la waajiriwa walio kwenye sekta rasmi maana vipato vyao vinajulikana na hukatwa moja kwa moja kutolka kwa waajiri wao kwa njia rahisi zaidi.

4) Kundi lingine lililoko kwenye informal sectors, mfano mafundi ujenzi, vibarua mbalimbali, madereva, wafanyakazi wakujitegemea, wasanii, bodaboda n.k hawalipi kodi popote maana kundi hili halijawekwa kwenye mfumo unaoeleweka. Kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hata kama ni vibarua wawekwe kwenye mifumo rasmi ili ijulikane wanafanya kazi wapi na kipato chao kikoje na kodi yao iwe kiasi gani.

Nitaendelea.....
 
Hii mada ililetwa humu na member mmoja kule Jamii Intelligence nadhani.
But you know what? Who cares nani analipa au halipi kodi? Kama wananchi hatujui zinatumika vipi na kwa maslahi ya nani? Zero transparency ukilinganisha na mambo ya ajabu yanayofanyika right now! Don't give them ideas.

To hell with it! This thread is not even supposed to exist.
 
Ukifuatilia Takwimu, utasikia TRA wanadai idadi ya walipa kodi nchi hii ni ndogo sana licha ya nguvu nyingi zinazotumika ikiwemo masuala ya TasForces, kuhakikisha watu wanadai receipts na matumizi ya EFD machines.

Kwa njia hizo, ni kweli kabisa idadi ya walipakodi itaendelea kuwa ndogo. Nini kifanyike?

1) Tujipe malengo ya miaka hata 10 kuboresha na kuunda upya mifumo ya ulipaji kodi ili iwe ya kidijitali. Mifumo hii ina gharama kubwa, lakini ndio njia sahihi zaidi.

2) Hii inamana pia kuwa tutengeneze mifumo na kuhama kutoka kwenye matumizi ya cash na kuwa ya ki-electronic. Ukienda dukani unalipa kwa kadi yako badala ya kushika mipesa mkononi. Hii inamaana gani? Hii inamaana kuwa endapo kutakuwa na idadi kubwa ya watu wanaolipa kwa card za malipo au kadi za banks, VAT itakuwa inatozwa moja kwa moja na itakuwa rahisi kufahamu kipato cha mfanyabiashara kuliko ilivyo sasa ambapo kodi inakadiriwa na makadirio hayo yanaweza yasiwe sahihi.

3) Ukifuatilia kwa karibu, kundi pekee la watu wanaolipa kodi ya kipato (income tax) nchi hii kwa haki ni kundi la waajiriwa walio kwenye sekta rasmi maana vipato vyao vinajulikana na hukatwa moja kwa moja kutolka kwa waajiri wao kwa njia rahisi zaidi.

4) Kundi lingine lililoko kwenye informal sectors, mfano mafundi ujenzi, vibarua mbalimbali, madereva, wafanyakazi wakujitegemea, wasanii, bodaboda n.k hawalipi kodi popote maana kundi hili halijawekwa kwenye mfumo unaoeleweka. Kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hata kama ni vibarua wawekwe kwenye mifumo rasmi ili ijulikane wanafanya kazi wapi na kipato chao kikoje na kodi yao iwe kiasi gani.

Nitaendelea.....
hakuna anayeweza kulipa kodi kwa usawa huku unaowalipa unawaona wanakuwa matajiri wa kutisha refer wafanyakai wa tra wewe ukiendelea kupambana kwa jasho na kupata mafanikio madogo..
mifumo ya hii nchi bado sana wajipange watu kulipa kodi wakiona fedha zao zinaenda zinapotakiwa wala hamtawalazimisha tutalipa hadi mtazikimbia.
 
Hii mada ililetwa humu na member mmoja kule Jamii Intelligence nadhani.
But you know what? Who cares nani analipa au halipi kodi? Kama wananchi hatujui zinatumika vipi na kwa maslahi ya nani? Zero transparency ukilinganisha na mambo ya ajabu yanayofanyika right now! Don't give them ideas.

To hell with it! This thread is not even supposed to exist.
Asante kwa sababu unaunga mkono njia zinazopendekezwa kuwa zinaweza kuwa na tija zaidi. Kuhusu namna ya kodi zinavyotumika hiyo ni mada nyingine na imekuwa ni changamoto kweli kwa nchi za Ki-Afrika maana mindset ya watu wengi wenye mamlaka huwa ni kujinufaisha wao binafsi. Kwahiyo kila anayepata fursa huwa anajitahidi kuwa mpigaji. Hii ni kweli inarudisha nyuma hamasa za watu kulipa kodi. Viongozi wetu wangekuwa na masikio na kujali, wangefanyia kazi jambo hili na kuwa serious kabisa.

Kwa mfano:
1) Ingeamriwa kuwa wanasiasa wasilipwe pesa nyingi na maslahi yao yawe ya kawaida kama wafanyakazi wengine.
2) Wnasiasa wasiwe na influence kubwa kwenye utendaji wao ili kuepusha mianya ya rushwa na ufisadi inayoweza kuelekezwa kwao.
3) Matumizi yote ya anasa serikalini yaondolewe.
 
hakuna anayeweza kulipa kodi kwa usawa huku unaowalipa unawaona wanakuwa matajiri wa kutisha refer wafanyakai wa tra wewe ukiendelea kupambana kwa jasho na kupata mafanikio madogo..
mifumo ya hii nchi bado sana wajipange watu kulipa kodi wakiona fedha zao zinaenda zinapotakiwa wala hamtawalazimisha tutalipa hadi mtazikimbia.
Post yangu hapo juu # 4 yahusika. Asante kwa mchango wako.
 
Ukifuatilia Takwimu, utasikia TRA wanadai idadi ya walipa kodi nchi hii ni ndogo sana licha ya nguvu nyingi zinazotumika ikiwemo masuala ya TaskForce, kuhakikisha watu wanadai receipts na matumizi ya EFD machines.

Kwa njia hizo, ni kweli kabisa idadi ya walipakodi itaendelea kuwa ndogo. Nini kifanyike?

1) Tujipe malengo ya miaka hata 10 kuboresha na kuunda upya mifumo ya ulipaji kodi ili iwe ya kidijitali. Mifumo hii ina gharama kubwa, lakini ndio njia sahihi zaidi.

2) Hii inamana pia kuwa tutengeneze mifumo na kuhama kutoka kwenye matumizi ya cash na kuwa ya ki-electronic. Ukienda dukani unalipa kwa kadi yako badala ya kushika mipesa mkononi. Hii inamaana gani? Hii inamaana kuwa endapo kutakuwa na idadi kubwa ya watu wanaolipa kwa card za malipo au kadi za banks, VAT itakuwa inatozwa moja kwa moja na itakuwa rahisi kufahamu kipato cha mfanyabiashara kuliko ilivyo sasa ambapo kodi inakadiriwa na makadirio hayo yanaweza yasiwe sahihi.

3) Ukifuatilia kwa karibu, kundi pekee la watu wanaolipa kodi ya kipato (income tax) nchi hii kwa haki ni kundi la waajiriwa walio kwenye sekta rasmi maana vipato vyao vinajulikana na hukatwa moja kwa moja kutolka kwa waajiri wao kwa njia rahisi zaidi.

4) Kundi lingine lililoko kwenye informal sectors, mfano mafundi ujenzi, vibarua mbalimbali, madereva, wafanyakazi wakujitegemea, wasanii, bodaboda n.k hawalipi kodi popote maana kundi hili halijawekwa kwenye mfumo unaoeleweka. Kwahiyo watu wote wanaofanya kazi hata kama ni vibarua wawekwe kwenye mifumo rasmi ili ijulikane wanafanya kazi wapi na kipato chao kikoje na kodi yao iwe kiasi gani.

Nitaendelea.....
Kodi zilizolipwa zimefanya nini? Kipi kilichoongezeka? Na kodi itakapolipwa kwa wingi ni kipi cha tofauti kitaongezeka? Sio kwamba watu hawapendi kulipa kodi, huwa hawaoni matunda ya kodi zao
 
mada nyeti sana hii.

huwa nina ndoto za kumiliki viwanda tofauti tofauti.lakini ndoto zangu zilififia baada ya kuona ndugu yangu aliyetaka kumiliki kiwanda cha kutengeneza vitu vya plastiki kukutana na vikwazo lukuki mpaka akaamua kuachana kabisa na mpango huo.

nimebaki kwanza niendelee kuwa mchuuzi wa bidhaa za China.
 
Back
Top Bottom