MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Mmh... Una acha pombe, unamuachia nani sasa!Wakuu!
Naomba mnisaidie jinsi ya kuacha kunywa pombe, yani nakunywa sana bia.. Nataka kuacha ila nashindwa .
Cha ajabu nikinywa bia, huwa nasikia sana raha, kama nilikuwa na stress zinapotea [emoji16]
Msaada wenu, naomba
Acha ungese kata maji kesho supu kwangu, ila kila ukiagiza kumbuka kodi ya lord asije gonga asbh akakata stimu
Kunywa bia wewe acha ujingaWakuu!
Naomba mnisaidie jinsi ya kuacha kunywa pombe, yani nakunywa sana bia.. Nataka kuacha ila nashindwa .
Cha ajabu nikinywa bia, huwa nasikia sana raha, kama nilikuwa na stress zinapotea [emoji16]
Msaada wenu, naomba
Mmh... Una acha pombe, unamuachia nani sasa!
Halafu unataka ufanye nini?
Basi anzac kunywa uone kama ni rahaNinywe fanta passion [emoji16]
piga nyetoWakuu!
Naomba mnisaidie jinsi ya kuacha kunywa pombe, yani nakunywa sana bia.. Nataka kuacha ila nashindwa .
Cha ajabu nikinywa bia, huwa nasikia sana raha, kama nilikuwa na stress zinapotea [emoji16]
Msaada wenu, naomba
Ebu njoo pm Mara moja tuongee vzr mpz wangu Manka nimekumis SanaBasi anzac kunywa uone kama ni raha
Jamani hii soda siipend!!!!Ninywe fanta passion [emoji16]
Miss u dear nakujaEbu njoo pm Mara moja tuongee vzr mpz wangu Manka nimekumis Sana
KisukariniUtaona hiyo misoda unayotaka kuanza kunywa itakupeleka wapi
Ntafurah Sana my dearMiss u dear nakuja