Mie mwenzenu ilikuwa ikipita siku sijanywa basi usiku ni balaa, Yaani ndoto za ajabuajabu, mara naongoza majeshi kuwapiga m23, mara maninja kama mia nne hivi wamenizingira napambana nao usiku kucha, Mara naongoza magari barabarani, Mara najenga maghorofa yanaporomoka..mara niko kizimbani, yaani ilimradi taabu tupu.. Baadae niliamua kukomaa wiki mbili bila kugusa saivi shwari, nikiamua leo ninywe au nisinywe shwari tu. Ila fanya mazoezi na maji kunywa kwa wingi.
mimi niko na record ya kunywa miaka mitano daily...ukiacha ndoto za kutisha,tremor,kushituka ,nikaona enough is enough naenda mwaka wa pili sijagusa alcohol.Mie mwenzenu ilikuwa ikipita siku sijanywa basi usiku ni balaa, Yaani ndoto za ajabuajabu, mara naongoza majeshi kuwapiga m23, mara maninja kama mia nne hivi wamenizingira napambana nao usiku kucha, Mara naongoza magari barabarani, Mara najenga maghorofa yanaporomoka..mara niko kizimbani, yaani ilimradi taabu tupu.. Baadae niliamua kukomaa wiki mbili bila kugusa saivi shwari, nikiamua leo ninywe au nisinywe shwari tu. Ila fanya mazoezi na maji kunywa kwa wingi.
Benjamin Franklin said it best: "Beer is living proof that God loves us and wants us to be happy." So mtajijua msiokunywa, usiache utakuwa malaya balaahhh
Ofcourse niliifanyia majaribio..nilikunywa ila kwa kua mimi ni mlevi proffessional dawa ilidunda!
Wadau/wakuu wa jamvi nisaidien katika hili nataman sana kuacha pombe lakini nashindwa nifanyaje? Na je kuna dawa maalum ya kutumia ambayo inaweza nsaidia?(mi ni nywaj wa kama bia 7 na kuendelea kwa siku wakat mwingine had nazima kabisa)
-------------------------
Pole sana. Hebu nikuulize:Ulipoanza kunywa pombe ulienda mahali kuomba msaada wa jinsi gani ya kunywa pombe?Nifanyeje niache pombe jamani. I cant sleep bila bia moja au Mbili.
Nahitaji msaada, mpaka muda huu naandika hii nina hangover ya jana.
Natanguliza shukrani.
Pole sana. Hebu nikuulize:Ulipoanza kunywa pombe ulienda mahali kuomba msaada wa jinsi gani ya kunywa pombe?
Bila shaka jibu ni hapana; uliamua tu mwenyewe kuanza kunywa pombe. That's the point I am driving at. Drinking alcohol and quitting drinking is a factor of your personal will and choice. Ukitaka kuacha kunywa pombe au hata kuvuta sigara, anza na nafsi yako. Iambie nafsi yako hivi: Kuanzia leo sitaki tena pombe wala sigara. Epuka marafiki wanywa pombe na wavutaji. Binafsi mimi nilifanya hivo mwaka 1993 kuacha kuvuta sigara na mwaka 1998 kuacha kunywa pombe. Mpaka leo sivuti wala sinywi pombe. Nimejinyima vyote. Kwa uzoefu wangu kuacha kunywa pombe ni rahisi kuliko kuacha kuvuta sigara. Uraibu wa sigara ni mkali kuliko wa pombe.
Tafuta siku ujiambie: 'KUANZIA LEO SITAKI TENA POMBE' Usijidanganye kwamba kuna dawa ya kuacha kunywa pombe au
kuvuta sigara. Dawa ya kweli ni uamuzi wa nafsi yako.