Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

I can imagine, am scared of alcohol kuliko kitu chochote.

Huwaga natafuta kilichonifanya niache bange na pombe all at once that same night niligundua am pregnant.

That willpower.....where did it come from. And where did it go??

Sweetheart am never really sober.

Hapa nilipo kichwa kinauma mbayaaaa.

Na ukiniona huwezi kuamini am alcoholic.
 
Tumia mbinu zote, maombi, rehab na nia ianzie kwako.

Kuna mahali wantoa ushauri/rehab pale sea cliff, wako vizuri ila sema aghali kidogo.

Nipelekeniiii manake hadi maombi yalishindikana.
 
Pole, but hakuna kisichowezekana ukiamua.

Do it for your hubby na mtoto. I know sio kitu rahisi, maana tu kufanya diet ni ngumu sana, seuse kuacha pombe. Relapse haziwezi kukuacha kirahisi. Jichukulie kama 'a work in progress', don't declear kuwa pombe imekushinda.

Ngoja niitafute namba ya yule mtu wa rehab, unaweza ongea naye akakusaidia.

 
Tumia mbinu zote, maombi, rehab na nia ianzie kwako.

Kuna mahali wantoa ushauri/rehab pale sea cliff, wako vizuri ila sema aghali kidogo.
I have a son, he is growing up.... I dont ever want him to see me this way.

I will work on it.

Help me God.
 

Thank You for your effort. You have a heart of gold.

Please get me the number.


#Operation Ulevi Noma.
 
Dah..! pombe ni noma, Nilikuwa sijawahi dhani naweza nikapitisha siku bila kunywa na tena sio kidogo, siku nisipokunywa ilikuwa balaa, ni ndoto za ajabu, Mara napambana na maninja usiku kucha, mara naendesha boonge la semi trailer napinduka nalo, mara naongoza vikosi vya jeshi vitani msitari wa mbele yaani ilikuwa inakuwa taabu tupu, but when I DECIDED that's when I stopped. Kwa sasa namaliza hat mwezi sijaonja. Thank GOD.
 
Huyo ndugu yako we unauhakika gani kama kaamua kuacha au la.. unaweza ukawa unatafuta njia ila kumbe yeye anataka kuendelea.... Pombe kuacha si rahisi japo at least ni rahisi kuliko sigara... Ajaribu kukutana na psychologists na daktari wa general medicine, yapo madawa pia yanaweza saidia, mchezeeni akili yake na kumlinda wakati wote, afu akiwa na muda muwekeeni hata binaural beats za kupunguza alcohol addiction asikilize kila akiwa na time... lakini all in all, ina-lie kwake, je anataka kuacha au la.. hilo ndo la kwanza....
 
Akipata redundancy kazini ataacha...kuna jamaa hapa kazini aliachishwa kwa manufaa ya umma kutokana na ulevi sshv kaacha pombe anatangaza injili kaamua kumrudia Mungu..Binafsi c oni umuhimu wa kuacha kama haikuletei vurugu..!
 
jibu jepesi kwa swali gumu...wewe unaonekana haujawahi kunywa.

Kitu kigumu kuacha ni ngono lakini kuna watu wanapenda kudanganya vijana eti waache ngono kabla ya ndoa!Kwa pombe inawezekana kuamua na kuacha!mimi nimepunguza sana na naelekea kuacha kabisa!Kuepuka kampani ya marafiki wanywaji na kujiweka busy na shughuli yoyote inayohitaji nguvu na maarifa,pia kunywa maji mengi na hasa ya vugu vugu, usiruhusu usikie kiu kabisa!Inawezekana mkuu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Ha ha ha! We jamaa ni noma, umenikumbusha wakati najaribu kupunguza pombe, ilikuwa inabidi nilale na vikopo 2 vya safari.

Ila inawezekana, unaanza kwa kutokunywa katikati ya wiki, then baadaye unaskip baadhi ya weekends mwisho unashangaa mwezi unapita.

Mind you! Ni rahisi kuacha pombe kama hutumii pombe za kienyeji, ukishaanza kutumia pombe za kianyeji ujue wewe kuacha pombe tena ni issue. (Zile pombe ni kama zinawekewa dawa ili uendelee kuwa mteja)
 
Jitahidi uwe unakunywa 'mma' lita 3 mpaka 4 kwa siku kila siku. Kila unaposikia kiu cha pombe we gonga 'mma' utaona matokeo in 2 consecutive weeks.
This is serious. Anza na hiyo kisha uje tupe matokeo.
 
Dr gudman 0719974927, yupo anapatikana tabata anatibu hayo magonjwa ya dawa za kulevya, pombe.. anatibu ubongo so dawa zinakufanya uache pombe au madawa, dawa si za miti shamba bali ni za marekani na nzuri..
 
Mtungieni tukio la ajabu(fedhea) akiwa amelewa chakari pombe ikimwisha ataacha kimbembe iwe ni wewe mwenyewe sasa na sio ndugu yako!
 

Viroba viko kundi gani?
 
Dr gudman 0719974927, yupo anapatikana tabata anatibu hayo magonjwa ya dawa za kulevya, pombe.. anatibu ubongo so dawa zinakufanya uache pombe au madawa, dawa si za miti shamba bali ni za marekani na nzuri..

Kweli kujikomboa kifikra ni jambo gumu sana kwa Mwafrika. Yaani kila kitu chake anakiona ni duni ukilinganisha na vitu vya wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…