Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

mkiacha pombe kodi itatoka wapi? mchango wa walevi kwenye bajeti ya makufuli ni kubwa mno
hizi dawa zipigwe marufuku nchini
 
Asante kwa mada nzuri ila wewe pia utaitwa adui wa uchumi wetu, kwa sasa nchi (Sio Tanzania) inaendeshwa kwa pesa iliyopatikana kwa Kodi ya Bia yaani walevi, sasa ukiwapa dawa wakaacha kunywa itakuaje?
 
Dawa ya kuacha ngono vp maana pombe na ngono ni mtu na rafiki yake
 
kwann uache pombe wakati wazalishaji wanaendana na hali halisi ya maisha? siku hizi bia buku jero tu unaweza piga ukawa a.k.a pilsner lager, au mwendokasi a.k.a safari ndogo pia siku hizi kuna chuma kinaitwa balimi a.k.a kanda ya ziwa ambapo buku tano unapiga 3 bado na chenji ya jero kwa ajili ya nauli ya daladala inabaki. kunywa pombe ili kuendeleza taifa kwani bila kunywa bia no kodi
 
Karibuni
 

Attachments

  • 1484774179576.png
    128.3 KB · Views: 140
Dakk 10 tu
Pesa baada ya kupona
 

Attachments

  • 1484774257366.jpg
    6.8 KB · Views: 142
Wandugu karibuni dawa
Sigara 1 sh.200 kwa siku sigara 5 ni 1000
Kwa mwezi ni 30000 au zaidi
Lakini
Mapafu yanachakaaa
Pombe
Bia 4 kwa siku ni 10000
Kwa mwezi 300000
Kwa mwaka ni zaidi ya 5000000 ukichanganya na ofa
Kuna bangi imeharibu maisha ya watu
Ata hiyo pombe, madawa yameharibu watoto kwa wakubwa,
Nitafutieni watu mnaowafahamu sugu
Ni DKK 10 tuuu
 
Usikae utumwani
 

Attachments

  • 1484798248747.jpg
    7.7 KB · Views: 98
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…