Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Changanya MAVI ya kuku ktk hiyo glass ya bia, konyagi, ama pombe yoyote unayokunywa. Kunywa na maliza kama glass mbili hivi na usisikilize ladha yake wakati unakunywa.
Baada ya nusu saa utatapika sana.
Unless this is a joke....
Kwanini ufikie hatua ya kufanya hivi kisa ati unataka kuacha pombe? Dawa pekee ni KUAMUA kuacha tu. Enzi zile ninatandika mtungi kwa sana uncle wangu alikuwa ananiambia ''Kama ni LAZIMA ukae bar na unywe kitu, kwa nini usinywe maji au maziwa''??
uache pombe kwani unataka kuwa mchawi au. wasiokunywa pombe ni wachawi na wale wenye mashetani. pombe deal ila usizidishe tu.
uache pombe kwani unataka kuwa mchawi au. wasiokunywa pombe ni wachawi na wale wenye mashetani. pombe deal ila usizidishe tu.
tatizo sababu za kuacha pombe ulizoziainisha ni za kwako mwenyewe na sio lazima ziapply kwa wengine e.g kuchelewa ofisini, kuchukua barmaids na machangu, drinking daily! Haya si matatizo ya kila mtu! So struggle urself
Kwanini uache pombe bana?? Utaanza umbea, nak ugombana na watoto home. We punguza tu kwani huwezi kupunguza kama unalewa sana usiende bar unazofahamiana na watu kwa sana nenda bar kama vy the way tu unapita hupati ofa. Halafu jifunze kutotembea na ATM na pesa nyingi uwe na kama 20,000 Tshs tu kwa siku hutaspend sana
Is this a joke?
sijajaribu kwa kuwa sijawahi kuwa mnywaji wa pombe. Ila jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kuwa hiyo ni tiba mbadala ya kuacha pombe (mavi ya kuku na bia-kama mr mlalache alivyoshauri)!! you can try and inform us later the outcome, no matter what??
I have been Drinking for the Last Five years.
But I really dont know why I should Drink!
It has reach a point whereby a day cant pass without me taking 1 or 2
At the moment am sruggling on quiting drinking alltogether!!
Please JF members, Is there anyone who has been drinking and now he is out of it?
In simple terms, Is it posible for one to quit Drinking?
I always ask myself what I get from drinking but but only negatives
1. Hang overs in the office
2. I cant give out my best in office
3. Loss of money
4. Am growing old at a very high rate
5. Kitambi
6. Some sundays I cant attend mass due to hang over
7. I drive carelessly as I feel am the Michael schumacher of Tanzania.
8. Some people now just take me as a mare drunkered
9. Sometimes am late in the Office
10. Most of my free time is wasted in Bars
11. Sometimes I end up Picking Those Bar maids.
-------------
--------------
--------------
--------------
--------------
---------------
--------------
---------------
------------------
------------
--------------
Hebu nisaidieni jamani, Nimedhamiria kwa moyo mmoja kuacha pombe, sitaki kurudi nyuma. Tatizo nikiingia hata kwenye Bar nikiona Castle ya baridi koo linakauka ghafla, please members advise me, Ninajua kuna wangi hapa walikua type yangu lakini sasa wamepona, Huu kwangu sasa ni ungonjwa, wahat Can I just do niachane na hili Zimwi?