ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kula beer acha uoga....ila jitahidi kuongeza nidhamuSalam,
Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.
Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.
Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.
Pombe, pumbavu zako pombe.
Hii analysis yako hainisaidii kuacha pombe.... Kwa sababu ninajua kuwa ninapata hasara.
Asee soma nilichoandika... Usinilishe Maneno mkuu.Hiyo pombe unayoizungumzia hapa ni ni hii ya kwenye chupa? Au ya magogo ON? Maana kama ni pombe ya kawaida haitukanwi labda ni pombe mtu
Kumbe na Wewe Ni Mtalam eeeh Hongera SanaMwambie mtu akuwekee maziwa ya nguruwe anayenyonyesha kwenye pombe utakayokunywa ukishindwa nenda kanisani kuombewa
Kwa avatar yako ni maombi gani unataka kunifanyia mkuu??Njoo Nikuombee Ndugu Yangu
Ahhhhh wapi wewe! Watu tunatumia hadi miliono 20 kwa mwaka kwenye pombe tu unataka kusema nini? Hayo ni matumizi tu pia ya pesa bwana mkubwa, acha uoga.piga hesabu hasara:
mwaka
bia 3@1500 4500×30 =135,000×12=1,620,000
nyama 15,000@month =15,000×12 =180,000
other expnses kutoa ofa
usafiri kuhonga nk 50,000@mnth×12=600,000
total 2,400,000
chukua 1,620,000÷1500= 1080
kwa mwaka unakunywa chupa 1,080 ni sawa na cret 54
huonei huruma ini.
hivyo hivyo kidogoKumbe na Wewe Ni Mtalam eeeh Hongera Sana
Katika unywaji wa pombe nyuma yake kuna roho ya ulevi. Huwezi kuacha kwa utashi wako, bila kuamua kuokoka na Yesu Kristo kutawala maisha yako.Salam,
Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.
Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.
Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.
Pombe, pumbavu zako pombe.
Tuanze na swali hili ww ni mtu wa imani gani?Salam,
Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.
Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.
Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.
Pombe, pumbavu zako pombe.
Ebu Nipe Somo kuhusu ile tabia yenu ya kutulisha malimbwata[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]hivyo hivyo kidogo
Japo sioni mantiki.... Mimi ni mkristo.Tuanze na swali hili ww ni mtu wa imani gani?
Salam,
Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.
Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.
Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.
Pombe, pumbavu zako pombe.
unaharibu uzi wa watu kutoka nje ya madaEbu Nipe Somo kuhusu ile tabia yenu ya kutulisha malimbwata[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
A
Ahhhhh wapi wewe! Watu tunatumia hadi miliono 20 kwa mwaka kwenye pombe tu unataka kusema nini? Hayo ni matumizi tu pia ya pesa bwana mkubwa, acha uoga.
Achana na mambo ya AvatarKwa avatar yako ni maombi gani unataka kunifanyia mkuu??
Basi kwanini sasa unaiasi dini yako mkuu bora uachane na hiyo kitu ungekuwa Muslim ngekupa vipande vyako!!!Japo sioni mantiki.... Mimi ni mkristo.
[emoji21] [emoji21] Bass Njoo Pmunaharibu uzi wa watu kutoka nje ya mada