Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Salam,

Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.

Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.

Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.

Pombe, pumbavu zako pombe.
Kula beer acha uoga....ila jitahidi kuongeza nidhamu
 
Mkuu, kulijua tatizo ni nusu ya kulitatua tatizo.
Nenda tafuta hapo jirani kwenye Kanisa la watu waliookoka, omba kuonana na mchungaji, mweleze swala lako hilo kisha atakuelekeza la kufanya.

Huwa hatushindi dhambi kwa nguvu zetu. Tunaweza kuzishinda dhambi zote pale tunapokuwa tumempa Yesu maisha kwa maana ya KUOKOKA. Baada ya kuokoka, tunapokea nguvu kutoka kwa Mungu inayotuwezesha kuanza kuishi maisha ya ushindi.

AMUA KUZALIWA MARA YA PILI, UUONE UKUU WA MUNGU. Karibu kwenye Kingdom mkuu
 
A
piga hesabu hasara:
mwaka
bia 3@1500 4500×30 =135,000×12=1,620,000
nyama 15,000@month =15,000×12 =180,000
other expnses kutoa ofa
usafiri kuhonga nk 50,000@mnth×12=600,000
total 2,400,000

chukua 1,620,000÷1500= 1080

kwa mwaka unakunywa chupa 1,080 ni sawa na cret 54


huonei huruma ini.
Ahhhhh wapi wewe! Watu tunatumia hadi miliono 20 kwa mwaka kwenye pombe tu unataka kusema nini? Hayo ni matumizi tu pia ya pesa bwana mkubwa, acha uoga.
 
Salam,

Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.

Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.

Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.

Pombe, pumbavu zako pombe.
Katika unywaji wa pombe nyuma yake kuna roho ya ulevi. Huwezi kuacha kwa utashi wako, bila kuamua kuokoka na Yesu Kristo kutawala maisha yako.
 
Salam,

Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.

Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.

Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.

Pombe, pumbavu zako pombe.
Tuanze na swali hili ww ni mtu wa imani gani?
 
hivyo hivyo kidogo
Ebu Nipe Somo kuhusu ile tabia yenu ya kutulisha malimbwata[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Salam,

Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.

Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.

Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.

Pombe, pumbavu zako pombe.
drunk 5.jpg
 
Ebu Nipe Somo kuhusu ile tabia yenu ya kutulisha malimbwata[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
unaharibu uzi wa watu kutoka nje ya mada
 
A

Ahhhhh wapi wewe! Watu tunatumia hadi miliono 20 kwa mwaka kwenye pombe tu unataka kusema nini? Hayo ni matumizi tu pia ya pesa bwana mkubwa, acha uoga.


woga kwangu ni msamiati.

ata kama unatumia mil 50 urumia mwili wako.

pombe ni tamuu kwelii kwelii na alianzisha pombe abarikiwe sana.

hoja ni kwamba inyweke kidgo sababu kuu ni kwamba ukinywa nyingi utakufa haraka uache utamuuuuuu.

maneno yangu SIO SHERIA.
sipangiwi chakuandika.
 
Back
Top Bottom