ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kula beer acha uoga....ila jitahidi kuongeza nidhamuSalam,
Nimeona nianze kwa kukiri udhaifu wangu kwenye pombe, kwa kweli naipenda na nimekuwa mdhaifu sana kwenye hii kitu. Naweza kusema sijafikia kiwango cha kujiita mraibu lakini it is too much. Yaani kila siku ni lazima nipate chupa zisizopungua tatu za virikuu.
Zinanimaliza kiuchumi, zinaninyima muda wa kukaa na familia, na zinaniletea mibalaa tu. Ajali za kijinga, ugomvi na mengine ya hovyo.
Kwa akili yangu naona nimeshindwa kabisa kuacha ulabu...... Kama kuna dawa waungwana tusaidiane.
Pombe, pumbavu zako pombe.