Njia za kuzuia wachawi wasiingie ndani ya nyumba yako

Mamujay

Senior Member
Joined
Dec 24, 2022
Posts
149
Reaction score
345
Thread hii kwanza naiona na views wengi sana maana wabongo wengi wanapenda kujifunza. Nawapongeza kwa hilo. Back to the matters.
Njia za kuzuia wachawi wasiingie ndani kwako zipo nyingi na kila mtu anaifahamu yake.
Naiweka hapa ninayoifahamu na wengine waweke wanazozifahamu tujifunze.
Chukua mifupa ya ngurue weka kwenye kona ya nyumba yako ,kona zote juu ya mlango na madilishani kote

Leteni nyingine
 
Ukifanya hivyo ndio watakuja wakufukue mtaro a.k.a Kwa mpalange. Niliwahi kusikia huo ushuhuda kwa waliojaribu kufanya hivyo[emoji28]
 
Kilichonifanya nifungue kukuta head line kama hii kwenye international forum
 
Bullshit!
Kwanza njia yenyewe ya uongo.
 
Nguruwe kawa Mungu au ?
Wacha mambo zako
 
Achana na mawazo ya kipumbavu wewe.
 
Kuna jeen maalun anaishi chooni!; huyo hiyo mifupa ya nguruwe anaitafuna na kushushia urojo wa chooni kisha anajínafasi ndani ya nyumba yako kwa raha zake....
 
Nenda Kaole Bagamoyo, chota yale maji ya baridi, kabla ya kulala nyunyuzia kwa kuzunguka nyumba. Mchawi haingii.
 
Ila njia nzuri ni kumuona kalumanzila anaejitambua na kufuata masharti atakupa dawa. Mchawi akipenya kijanja atanasa ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…