Njia zipi nzuri ya kujiimarisha kiuchumi kwa waajiriwa?

Nimepitia comments za thread, nimegundua mtoa mada tayari anawaza duka hasa la vyakula.

1. Kama ushawahi kuifanya au unaona kabisa una uwezo wa kuifanya basi fanya. Majuto ya Kughairisha kitu ni makubwa kuliko ukafanya ukashindwa,, go on.

2. Uwe mwepisi wa kujifunza na kujitoa, itakusaidia kuielewa Biashara mapema na kudhibiti Hasara Kwa haraka.

3. Jinsi ya kumanage hakuna formular. Endesha vile wewe unaona inafaa.. Jisomee pia rules of magement kuongeza maarifa.

Kila la heri, usiache Kufanya kitu.
 
Barikiwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Shida upigwaji ni mwingi na km unafanya hivo namnagan unaweza dhibiti
Niajiri mie besty nitasimamia biashara zako kwa uaminifu. Cha msingi unipatie gheto na chakula changu kikuu ni wali nazi na mchuzi wa nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…