Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi
Tafuta furaha, sasa utajiuliza furaha ni nini? Furaha ni kufanya Jambo lolote kwa kiasi ambacho unapata appreciation kutoka kwa watu wana-applause na kukupa pongeza za kile umekifanya kwa mtazamo chanya, sasa dawa ya sonona ni kufanya hivyo do something better for yourself & for others each & everyday hapo depression itaenda zake mdogo mdogo
✍️
 
Tafuta furaha, sasa utajiuliza furaha ni nini? Furaha ni kufanya Jambo lolote kwa kiasi ambacho unapata appreciation kutoka kwa watu wana-applause na kukupa pongeza za kile umekifanya kwa mtazamo chanya, sasa dawa ya sonona ni kufanya hivyo do something better for yourself & for others each & everyday hapo depression itaenda zake mdogo mdogo
✍️
Hii ni long term solution lakin
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Tatizo ni mtu wa kukusikiliza na kukufariji tu?

Je ukikaa mwenyewe huongei kwa sauti na kujijibu?

Kutokana na hali ulionayo unapata maumivu ya kichwa upande mmoja?
 
Furaha inatoka ndani yako mwenyewe..

Kama unategemea vitu au Watu ndio wakupe furaha utapotea... Utaendelea kuumia zaidi Kwa msongo na sonona..

Watu wanabadilika... Vitu vinabadilika.. Ila wewe Utaendelea kuwepo kama ulivyo... Jitunze, jijali, jipendee, jiweke mbele zaidi na huo ndio mwanzo wa furaha yako.

Barikiwa sana mpendwa.
 
Una ugonjwa wa akili seek for medical helps Muhimbili hospital kama huko psychiatric department ukaonane na specialist wa masuala mental health na psychologists wote wako pale especially kama uko dar na kama mkoani NENDA hospital ya wilaya uliyopo au mkoa uliopo.
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Ni lazima ujuwe chanzo chake,ukishakijua unapambana nacho,wana saikolojia wakikaa na wewe kwa muda flani watajua chanzo na kukusaidia,wengine ni watu wa kiroho waliomshiba Mungu ni msaada mzuri sana...
 
IMG_20230716_135124_080.jpg
 
Back
Top Bottom