Tafuta furaha, sasa utajiuliza furaha ni nini? Furaha ni kufanya Jambo lolote kwa kiasi ambacho unapata appreciation kutoka kwa watu wana-applause na kukupa pongeza za kile umekifanya kwa mtazamo chanya, sasa dawa ya sonona ni kufanya hivyo do something better for yourself & for others each & everyday hapo depression itaenda zake mdogo mdogohivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi
Subhannallah. Nashukurujichukulie sheria mkononi
Hii ni long term solution lakinTafuta furaha, sasa utajiuliza furaha ni nini? Furaha ni kufanya Jambo lolote kwa kiasi ambacho unapata appreciation kutoka kwa watu wana-applause na kukupa pongeza za kile umekifanya kwa mtazamo chanya, sasa dawa ya sonona ni kufanya hivyo do something better for yourself & for others each & everyday hapo depression itaenda zake mdogo mdogo
✍️
In real life situations there is no short cuts lazima iwe hivyo itachukua mda wa siku na masiku mpaka ukae sawa haiwi kwa siku moja tu umepona hapana ni UONGOHii ni long term solution lakin
Shida ni zipi kwani?unaweza kuziweka hapa?naamini hapa utapokea zaidi ya poleNmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
Ngoja tuone labda anaweza kushare na sisiHili swali ni la msingi sana la sivyo misunderstanding zitakuwa nyingi
Exactly, no more wordTafuta pesa,ridhika na hali uliokua nayo usifocus kwenye maisha ya watu au rafiki kua kafanya nini au hana nini,live your own life without comparing it with others ondoa presha ya kufanikiwa kwa haraka.
Tatizo ni mtu wa kukusikiliza na kukufariji tu?Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasema ukweli lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua natafuta mtu mwenye mawazo haya, asante sana therapist.
Lakin yangu haihusiani na maendeleo. Am good kwenye progressing and developingIn real life situations there is no short cuts lazima iwe hivyo itachukua mda wa siku na masiku mpaka ukae sawa haiwi kwa siku moja tu umepona hapana ni UONGO
✍️
Ni lazima ujuwe chanzo chake,ukishakijua unapambana nacho,wana saikolojia wakikaa na wewe kwa muda flani watajua chanzo na kukusaidia,wengine ni watu wa kiroho waliomshiba Mungu ni msaada mzuri sana...Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Ingekua naweza kuviweka ningeweka ila no series ya matukio. Na kuna watu wapo wataelewa kabisa sitakua anony tenaShida ni zipi kwani?unaweza kuziweka hapa?naamini hapa utapokea zaidi ya pole
Binafsi ningekuwa naweza kuonana na mtu ningekuomba tuonane tuongee
Asante studio😂😂Wewee Una nyegee, hebu tafuta pipo akuzagamue, hiyo hali itaisha automatically.
Yes hapa najisikia maumivu makali ya kichwaTatizo ni mtu wa kukusikiliza na kukufariji tu?
Je ukikaa mwenyewe huongei kwa sauti na kujijibu?
Kutokana na hali ulionayo unapata maumivu ya kichwa upande mmoja?
Ni mapenz au maisha?Nmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
Its not about sex always my friendWewee Una nyegee, hebu tafuta pipo akuzagamue, hiyo hali itaisha automatically.
Inaanzia familia inakuja maisha inakuja mapenzNi mapenz au maisha?