Mentor wenu
Member
- Jan 13, 2025
- 6
- 9
Weka picha mjongeo tukuchagulie jiko usisahau namba zao za simuNina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.
Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.
Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.
Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta
Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Achague mwenye matako makubwa maana vijana wameamua kuoa matako siku hiziUsioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
Oa huyo anayefanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.Nina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.
Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.
Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.
Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta
Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Dipresheni hiyoUsioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
We Atoto weweeeeee..!!!Usioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
Njanuari π€£π€£Dipresheni hiyo
Umeniwahi na mimi nilitaka kumpa ushauri kama huu murua. Tako lina nafasi yake πAchague mwenye matako makubwa maana vijana wameamua kuoa matako siku hizi
Una kigodoro?Manaangalia pisi Kali eeeh ?? Miez ijayo baada ya ndoa mnakuja kutia huruma hapa
Hao wanafaa kuwa michepuko sio mkee!Achague mwenye matako makubwa maana vijana wameamua kuoa matako siku hizi
Utanyooka tuNina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.
Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.
Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.
Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta
Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Acha watu watafutane πNjanuari π€£π€£