Njiapanda Kichwani kuhusu wanawake hawa watatu

Njiapanda Kichwani kuhusu wanawake hawa watatu

Ndugu yangu kaoa flat ila ana michepuko yenye mitako km yote na yenyewe inapenda kua michepuko sio kuolewa ili iwe huru kupigwa miwa na kila mwanaume anaetaka kuipiga miwa mingine kaishia kuzaa nayo kabisa ila mkewe hana hata tako mchongoma kabisa kanyooka km rula
Huyo ndugu yako ana akili sana wanawake wenye matako sio wa kuweka ndani
 
Oa huyo anayefanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
......akili kubwa sana inatakiwa huyo aliejiajiri kuweza kusimama miaka 20 ijayo..na diversification za muendelezoooo wa mambo kujiajiri....la sivyo muda yeye atakuwa golikipa.....maisha safari ndefu sanaaaa
 
Nina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.

Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.

Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.

Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.

Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta

Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Namba 1 na 2 watakua wametumika sana bora chukua huyo wa nyumbani
 
Huyo celeb wako ni wa tiktok?😂😂😂😂

Anyways kataa ndoa
 
Nina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.

Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.

Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.

Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.

Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta

Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Kataa ndoa Bro utakuja kuniambia
 
Back
Top Bottom