zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndugu yangu kaoa flat ila ana michepuko yenye mitako km yote na yenyewe inapenda kua michepuko sio kuolewa ili iwe huru kupigwa miwa na kila mwanaume anaetaka kuipiga miwa mingine kaishia kuzaa nayo kabisa ila mkewe hana hata tako mchongoma kabisa kanyooka km rulaHao wanafaa kuwa michepuko sio mkee!
Huyo ndugu yako ana akili sana wanawake wenye matako sio wa kuweka ndaniNdugu yangu kaoa flat ila ana michepuko yenye mitako km yote na yenyewe inapenda kua michepuko sio kuolewa ili iwe huru kupigwa miwa na kila mwanaume anaetaka kuipiga miwa mingine kaishia kuzaa nayo kabisa ila mkewe hana hata tako mchongoma kabisa kanyooka km rula
Kibaya mkewe michepuko yote aliyonayo jamaa anaijua na anaishia tu kumwambia kwani kwa wale wenye matako unafuata nini?Huyo ndugu yako ana akili sana wanawake wenye matako sio wa kuweka ndani
Kabisa!Usioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
Kwamba hata alizotumia kuandika hapa kakodi?Usioe maana huna akili.
......akili kubwa sana inatakiwa huyo aliejiajiri kuweza kusimama miaka 20 ijayo..na diversification za muendelezoooo wa mambo kujiajiri....la sivyo muda yeye atakuwa golikipa.....maisha safari ndefu sanaaaaOa huyo anayefanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Namba 1 na 2 watakua wametumika sana bora chukua huyo wa nyumbaniNina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.
Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.
Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.
Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta
Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau
Ona huyu, ...kuoa ni jambo dogo? Aiseee!Usioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
Furushiiii! πππππΏββοΈππΏββοΈUsioe maana huna akili. Jambo dogo hilo kama huwezi kulifanyia maamuzi ndio basi tena.
Kabisaπ€£π€£π€£Furushiiii! πππππΏββοΈππΏββοΈ
Soma uelewe, usikurupuke.Ona huyu, ...kuoa ni jambo dogo? Aiseee!
Kataa ndoa Bro utakuja kuniambiaNina mwaka mmoja Dar, nafanya kazi kampuni moja hivi nzuri, kitengo safi Elimu zile za kula kiapo Baada ya miaka 6 ya chuo na intern.
Changamoto moja nina mpango wa kuoa mwaka huu, nina manzi watatu wote kimsingi wakali.
Mmoja anasoma chuo anapenda out sana pia ni celebrity.
Mmoja anafanya kazi zake amejiajili anatengeneza hela.
Mwingine mtoto wa nyumbani kwao bado hajapata kazi ndio anajitafuta
Nipo njia panda kweli kweli, hapa nachomokaje wadau