Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Mkuu we nimtu kazi auvip mzee wangu..sasa cha kufanya nenda mpanda mroge huyo mtoto awe kichaa halafu wakati mkeo amechanganyikiwa na homa ya mtoto,tumia nafasi hiyo kujua hyo nyumba kajenga wapi..
Then mroge nayeye wafanye ndondcha then utakufa kwa amani.
Duuuu aiseee hapana.
 
Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai

Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
Alafu wewe muha wewe mapenzi hayana umri,

Mwache aseme kinachomkera bhn kwanin wife wake amfanyie hivi na huyo kijana wake?
 
Mkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,
au laa tayari mtoto ameshamjua baba yake na wanawasiliana
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
 
wewe ndo umekurupuka, kamuoa mke wake mwaka 2002 akiwa na mtoto wa miaka miwili so mtoto mpaka sasa ana miaka 22 na ajira kapata mwaka juzi akiwa na miaka 19
Angalia niliyemjibu hapo juu halafu uone nani kakurupuka.
Nb: Wewe ndiyo umekurupuka zaidi kwa kujibu kitu ambacho hukijui kimeanzia wapi!!!
 
Mkuu, ukichukua leave uende kukaa home eti unatuliza akili, utajikuta unachizi... ongea tu na mama muambie kilichopo moyoni afu jipe shughuli. Mwanao pia mpe taarifa kwa mbali kwamba sio freshi. Wala usimlipizie....atayapitia uko mbele.

Sana sana pambana na shughuli yako mkuu, itakupotezea mawazo mabaya....na bila kusahau. Tafuta kamchepuko utoe stress!!!
 
Ndio hivyo

Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


 
Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai

Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
Ni MG wa tanapa special kwa vifaru (Rhinos) [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


Watu kwa kufukua makaburi hamjambo aisee!!
 
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Acha mawazo ya Kijingaa huwezi telekeza watoto wako wa damu 6 sababu ya Mtoto mmoja asiekuwa na shukrani.. Hesabu umetoa sadakaa maana unajiweza na humuombi msaada wowote jitahdi usamehee fanya kama ulimsadia Yatima jikaze kiume USIMUULIZE MKEO CHOCHOTE japo ni ngumu.

Kuhusu kujenge hilo muulize mkeo tena kuwa mkali msikie atasemaje maana hela za kujenga anatoa wapi??? Anyway nilishasema sio mahusiano tu hata Ndoa za kuishi mbali mbali sio NDOA ni stress tu. Pole san
 
Wanawake ni wachoyo na wabinafsi Sana na huwa hawana shukrani. Wachache wanaweza kukumbuka mema lakini walio wengi wanachokumbuka ni sasa. Ameshaona Kuna mafaniki ameanza kumbagua mzazi mwenzie!

Mara nyingi hata uonyeshe upendo kiasi gani kwa mtoto wa kambo, mawazo na hisia nyingi za mama zinawekezwa kwa huyo,hasa akiwa mmoja. Kuna jirani hapa analea mtoto wa kiume wa kambo toka mtoto mpaka sasa anakaribia kumaliza sekondari na naona Mama yake ameanza kumfanyia choyo. Kibaya zaidi anamueleza anaenda likizo kwa mzazi wake/baba yake. Nahisi jamaa kitamtokea kilichopatikana wewe.
Mkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,
au laa tayari mtoto ameshamjua baba yake na wanawasiliana
Yo
 
Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


Kamata mwizii meeeeeeen
 
wewe ndo umekurupuka, kamuoa mke wake mwaka 2002 akiwa na mtoto wa miaka miwili so mtoto mpaka sasa ana miaka 22 na ajira kapata mwaka juzi akiwa na miaka 19
Nini kwani mkuu emu toa ushauri hayo mengine hayakuhusu,,

Mbona kama nawe yamekukuta? Emu tuandikie uzi wako basi
 
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Waite wote ukae nao, waambie kinachokukera alafu uwasikilize watasemaje,

Soma mwelekeo wao then fanya maamuzi.
 
Acha mawazo ya Kijingaa huwezi telekeza watoto wako wa damu 6 sababu ya Mtoto mmoja asiekuwa na shukrani.. Hesabu umetoa sadakaa maana unajiweza na humuombi msaada wowote jitahdi usamehee fanya kama ulimsadia Yatima jikaze kiume USIMUULIZE MKEO CHOCHOTE japo ni ngumu.

Kuhusu kujenge hilo muulize mkeo tena kuwa mkali msikie atasemaje maana hela za kujenga anatoa wapi??? Anyway nilishasema sio mahusiano tu hata Ndoa za kuishi mbali mbali sio NDOA ni stress tu. Pole san
Hapa tatizo sio mtoto mi nahisi hasahasa kwa mama labda aanze kurekebisha kwa mama Kwanza kwahuyo mtoto iwe potelea mbali
 
Back
Top Bottom