Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wanatutengenezea matukio hawajui humu JF kuna forensic readers kama wewe..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa tatizo sio mtoto mi nahisi hasahasa kwa mama labda aanze kurekebisha kwa mama Kwanza kwahuyo mtoto iwe potelea mbali
Yaah ndo nasema tatizo ni mkewe kufanya mambo nyuma ya mgongo wake hasa hilo la kujenga... huyo mtoto aachane nae
 
wewe ndo umekurupuka, kamuoa mke wake mwaka 2002 akiwa na mtoto wa miaka miwili so mtoto mpaka sasa ana miaka 22 na ajira kapata mwaka juzi akiwa na miaka 19
Yaani Baba nae 2002 alikuwa na miaka 19, jamani. Teena mke mwenye mtoto wa miaka 2 sijui binti alikwa na umri gani?
 
Habari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana...

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi...?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045..

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake...

Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi...
Wewe afande fala sana aisee.
Miaka 39 unajiita kijana. Unajipendekeza kwa mtoto wa wenyewe
 
Habari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana...

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi...?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045..

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake...

Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi...
Hao walio pokea mahar Bila wazazi Ni wajinga sna hz ndoa Ni za kiswahil Sana umasaini na uchagani hakunakitu Kam hcho
 
Kugugumia vitu mwisho upate ugonjwa wa moyo, watafute wote Kaa nao uwatapikie unayoyajua kifua kiwe chepesi uendelee na mambo yako all in all pole sana
 
Naiona kama Chai.... Unasema una miaka 39 iweje ustafu mwaka 2045? Kazi gani hiyo ambayo utastafu na miaka 63?
 
Haya mambo ya kuruka na single mothers yanataka umakini sana. Kumbuka unadeal na mtu ambaye alikuwa kimahusiano na mtu hata kama huyo mtu amefariki. Hii inakuweka katika kundi la msamaria mwema na sio mwenza.

So ni vema kuweka kando porojo zinazosemwa na kuchukua tahadhali ili kuwa on the safe side na kuepusha future complications zinazoweza tokea kwa ulazima. Hii ni kwasababu zifuatazo.

1. Single mothers wanatendecy ya kuvaa mask ya 'victim hood' kwahiyo hata kama atakuwa ni yeye tatizo atataka jamii imtazame kwa jicho huruma kuwa yeye ndie kakosewa na hawapo tayari kujicheki na kubadili kilichosababisha waharibu. Hii kitu atakuja kukuonyesha mbeleni ila si wakati mnakutana. Mkikutana atataka huruma yako ila sio kukuonyesha mapungufu yake. Hii ni kukwepa accountability.mtu anaechagua kuwa unaccountable kwa matendo yake ni ngumu kubadili mwenendo wake mbaya.

2. Maisha ni kuwajibika na majukumu. Single mother akiwa na mtoto hayo ni majukumu, anajibeba bills zake na za mtoto au watoto. Lengo la mwanamke yoyote awe mama watoto wako au single ni kupata urahisi wa kubeba haya majukumu au mtu wa kumbebea ili awe huru kufirahia maisha. Target yake ni kupata mwanaume au mtu yoyote atakayechukua huo mzigo na kuubeba. Hii sio rocket science bali ni simple social sience ambayo haitaki degree kuielewa.

3. Watoto wa mwanaume ni wa kwake na katu hawawezi kuwa wako no matter how hard utajaribu kujiconvince katika akili yako kuwa ni wako. Hawa watoto ni security ya mwanamke na anawahitaji siku za mbeleni kuendelea kupata mahitaji yake wewe utakapokuwa umeshachoka na hauna nguvu za kutafuta tena. Ikifika huo wewe tayari unakuwa threat katika survival yake na katika space yake wewe si muhimu tena bali watoto ambao ndio anawahitaji so kunakuwa hakuna umuhimu wa kukuhitaji tena.

4. 90% ya effort utawekeza kwaajiri ya kumpa mwanamke anachotaka ili afurahie maisha na kutaka akutake wewe pekee yako duniani ni bad investment kwasababu in the modern world hazitakulipa by grown age. But 100% ya effort utawekeza kwko wewe mwenyewe kujenga future yako na mustakabali wa baadae hadi utakapofika miaka 100 ni guaranteed good investment that will pay by 250%,yes it will pay in double and a half extra.

5. Sio sifa ya mwanamke bora kubebesha mwanaume aliyenae sasa majukumu ya mwanaume aliyekuwa nae awali. Hivyo basi si sifa ya mwanaume bora kubeba majukumu ya mwanaume mwenzie kwasababu jambo asilokwambia mwanamke ni kwamba kama umekubali basi wewe ni mjinga aliyekupata kukurubuni kama mtoto mdogo ubebe kile ambacho mwanaume aliyemchagua yeye kwa uhuru wake kakishindwa kwa makusudi. Akikwambia ilikuwa bahati mbaya muulize mbona wengine wanabahati nzuri kwann wewe ulichagua bahati mbaya.

6. Thamani ya mwanamke katika maisha ya mwanaume huanza akiwa nae tokea mdogo na kukua nae na thamani hii hugeuka kuwa thawabu kama vile dhahabu inayohifadhiwa kidogo kidogo ikajaa na kuwa nyingi. Apatae mke mwema amepata bahati. Thamani ya mwanamke asiyejilinda hadhi yake huenda ikishuka wakati yeye akikuwa. Kinyume na porojo za kijamii, ukichagua mwanamke anayekua huku akishuka thamani inamaanisha na wewe haujithamini,kama unalala pazuri,unavaa vizuri,unakula vizuri na unataka kujenga familia nzuri then unahitaji mwanamke mzuri,sio tu wa tabia na muonekano bali hata historia nzuri.

7. Kwa kumalizia, katika maisha,wewe kama mwanaume, mbele yako anaanza MUNGU, katikati yako na MUNGU kusiwe na mtu yoyote au kitu chochote. Pili inakuja sababu ya wewe kuwapo hapa Duniani, wewe unajua sababu yako nayo ni kufanya jambo kubwa la kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwa vizazi vinavyo kwa jasho lako. Ukianza kuhangaika na wanawake wakuelekeze direction ya maisha yako it means umegeuka na umeanza kumuweka mwanamke mbele MUNGU nyuma yako. Atakuvuruga hauta amini na mimi nasema wacha akuvuruge sababu kwa kiburi chako umechagua kumdharau MUNGU kwa makusudi.
 
Haya mambo ya kuruka na single mothers yanataka umakini sana. Kumbuka unadeal na mtu ambaye alikuwa kimahusiano na mtu hata kama huyo mtu amefariki. Hii inakuweka katika kundi la msamaria mwema na sio mwenza.

So ni vema kuweka kando porojo zinazosemwa na kuchukua tahadhali ili kuwa on the safe side na kuepusha future complications zinazoweza tokea kwa ulazima. Hii ni kwasababu zifuatazo.

1. Single mothers wanatendecy ya kuvaa mask ya 'victim hood' kwahiyo hata kama atakuwa ni yeye tatizo atataka jamii imtazame kwa jicho huruma kuwa yeye ndie kakosewa na hawapo tayari kujicheki na kubadili kilichosababisha waharibu. Hii kitu atakuja kukuonyesha mbeleni ila si wakati mnakutana. Mkikutana atataka huruma yako ila sio kukuonyesha mapungufu yake. Hii ni kukwepa accountability.mtu anaechagua kuwa unaccountable kwa matendo yake ni ngumu kubadili mwenendo wake mbaya.

2. Maisha ni kuwajibika na majukumu. Single mother akiwa na mtoto hayo ni majukumu, anajibeba bills zake na za mtoto au watoto. Lengo la mwanamke yoyote awe mama watoto wako au single ni kupata urahisi wa kubeba haya majukumu au mtu wa kumbebea ili awe huru kufirahia maisha. Target yake ni kupata mwanaume au mtu yoyote atakayechukua huo mzigo na kuubeba. Hii sio rocket science bali ni simple social sience ambayo haitaki degree kuielewa.

3. Watoto wa mwanaume ni wa kwake na katu hawawezi kuwa wako no matter how hard utajaribu kujiconvince katika akili yako kuwa ni wako. Hawa watoto ni security ya mwanamke na anawahitaji siku za mbeleni kuendelea kupata mahitaji yake wewe utakapokuwa umeshachoka na hauna nguvu za kutafuta tena. Ikifika huo wewe tayari unakuwa threat katika survival yake na katika space yake wewe si muhimu tena bali watoto ambao ndio anawahitaji so kunakuwa hakuna umuhimu wa kukuhitaji tena.

4. 90% ya effort utawekeza kwaajiri ya kumpa mwanamke anachotaka ili afurahie maisha na kutaka akutake wewe pekee yako duniani ni bad investment kwasababu in the modern world hazitakulipa by grown age. But 100% ya effort utawekeza kwko wewe mwenyewe kujenga future yako na mustakabali wa baadae hadi utakapofika miaka 100 ni guaranteed good investment that will pay by 250%,yes it will pay in double and a half extra.

5. Sio sifa ya mwanamke bora kubebesha mwanaume aliyenae sasa majukumu ya mwanaume aliyekuwa nae awali. Hivyo basi si sifa ya mwanaume bora kubeba majukumu ya mwanaume mwenzie kwasababu jambo asilokwambia mwanamke ni kwamba kama umekubali basi wewe ni mjinga aliyekupata kukurubuni kama mtoto mdogo ubebe kile ambacho mwanaume aliyemchagua yeye kwa uhuru wake kakishindwa kwa makusudi. Akikwambia ilikuwa bahati mbaya muulize mbona wengine wanabahati nzuri kwann wewe ulichagua bahati mbaya.

6. Thamani ya mwanamke katika maisha ya mwanaume huanza akiwa nae tokea mdogo na kukua nae na thamani hii hugeuka kuwa thawabu kama vile dhahabu inayohifadhiwa kidogo kidogo ikajaa na kuwa nyingi. Apatae mke mwema amepata bahati. Thamani ya mwanamke asiyejilinda hadhi yake huenda ikishuka wakati yeye akikuwa. Kinyume na porojo za kijamii, ukichagua mwanamke anayekua huku akishuka thamani inamaanisha na wewe haujithamini,kama unalala pazuri,unavaa vizuri,unakula vizuri na unataka kujenga familia nzuri then unahitaji mwanamke mzuri,sio tu wa tabia na muonekano bali hata historia nzuri.

7. Kwa kumalizia, katika maisha,wewe kama mwanaume, mbele yako anaanza MUNGU, katikati yako na MUNGU kusiwe na mtu yoyote au kitu chochote. Pili inakuja sababu ya wewe kuwapo hapa Duniani, wewe unajua sababu yako nayo ni kufanya jambo kubwa la kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwa vizazi vinavyo kwa jasho lako. Ukianza kuhangaika na wanawake wakuelekeze direction ya maisha yako it means umegeuka na umeanza kumuweka mwanamke mbele MUNGU nyuma yako. Atakuvuruga hauta amini na mimi nasema wacha akuvuruge sababu kwa kiburi chako umechagua kumdharau MUNGU kwa makusudi.
Umetumia muda wako bure kumjibu huyu popoma bila kujua kuwa hii ni chai,pole sana
 
Habari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana...

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi...?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045..

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake...

Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi...
umri wa miaka 39 now means ulioa ukiwa na 17 yrs mkuu? how hujaenda hata shule? maana kwa design hii ndo maana vitu vidogo vinakutesa
 
Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai

Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
Umejuaje kama mwanajeshi
 
Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi...?
Kosa lako liko hapa tu:

Miaka 39 unajiona unaelekea uzeeni!

Huna mchepuko na unajivunia hilo!

Kuhusu singo mama watasema wengine ila ujue mtoto anaye baba’ke na sasa wako vizuri.

Umeshafanya malezi kwa nafasi yako, hata kwa hao watoto wako wakikua si mali yako tena….. kwa mama yao wa namna hiyo jiandae kufa mapema sana kwa kujiua au kuchanganyikiwa.
 
Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai

Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa nka mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.
Mtoto wa kufikia si wa kwako kaka !! ana baba yake huyo mwache.
 
Back
Top Bottom