Duuuu aiseee hapana.Mkuu we nimtu kazi auvip mzee wangu..sasa cha kufanya nenda mpanda mroge huyo mtoto awe kichaa halafu wakati mkeo amechanganyikiwa na homa ya mtoto,tumia nafasi hiyo kujua hyo nyumba kajenga wapi..
Then mroge nayeye wafanye ndondcha then utakufa kwa amani.
Mkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,Ivi umeelewa vzr iyo thread yangu mzee
Labda alianza kuishi na mama mtoto akiwa na miaka miwili kabla ya kuoana rasmi mwaka 2002Kutoka 2002 mpaka 2022 ni miaka mingapi??Jumlisha miaka miwili ya dogo, atakuwa na umri gani??? Acha kukurupuka!!!
Alafu wewe muha wewe mapenzi hayana umri,Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai
Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...Mkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,
au laa tayari mtoto ameshamjua baba yake na wanawasiliana
Angalia niliyemjibu hapo juu halafu uone nani kakurupuka.wewe ndo umekurupuka, kamuoa mke wake mwaka 2002 akiwa na mtoto wa miaka miwili so mtoto mpaka sasa ana miaka 22 na ajira kapata mwaka juzi akiwa na miaka 19
Ndio hivyo
Ni MG wa tanapa special kwa vifaru (Rhinos) [emoji23][emoji23][emoji23]Nyie wanajeshi mnakuwaga wajinga hamjui caring Hadi mnaoa single mother
Then sio busara kulilia mapenz at ur age 49+ yrs Ni Aibu Sana kiukweli huyo dogo umemuingiza jeshini then ameanza kukuona hufai
Cha kufanya kuwa na Amani moyoni huyo dogo kavimba kisa mwanajeshi
Watu kwa kufukua makaburi hamjambo aisee!!Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Acha mawazo ya Kijingaa huwezi telekeza watoto wako wa damu 6 sababu ya Mtoto mmoja asiekuwa na shukrani.. Hesabu umetoa sadakaa maana unajiweza na humuombi msaada wowote jitahdi usamehee fanya kama ulimsadia Yatima jikaze kiume USIMUULIZE MKEO CHOCHOTE japo ni ngumu.Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
YoMkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,
au laa tayari mtoto ameshamjua baba yake na wanawasiliana
Kamata mwizii meeeeeeenSawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Nini kwani mkuu emu toa ushauri hayo mengine hayakuhusu,,wewe ndo umekurupuka, kamuoa mke wake mwaka 2002 akiwa na mtoto wa miaka miwili so mtoto mpaka sasa ana miaka 22 na ajira kapata mwaka juzi akiwa na miaka 19
Waite wote ukae nao, waambie kinachokukera alafu uwasikilize watasemaje,Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Hapa tatizo sio mtoto mi nahisi hasahasa kwa mama labda aanze kurekebisha kwa mama Kwanza kwahuyo mtoto iwe potelea mbaliAcha mawazo ya Kijingaa huwezi telekeza watoto wako wa damu 6 sababu ya Mtoto mmoja asiekuwa na shukrani.. Hesabu umetoa sadakaa maana unajiweza na humuombi msaada wowote jitahdi usamehee fanya kama ulimsadia Yatima jikaze kiume USIMUULIZE MKEO CHOCHOTE japo ni ngumu.
Kuhusu kujenge hilo muulize mkeo tena kuwa mkali msikie atasemaje maana hela za kujenga anatoa wapi??? Anyway nilishasema sio mahusiano tu hata Ndoa za kuishi mbali mbali sio NDOA ni stress tu. Pole san