Njoeni Muone Vioja

Njoeni Muone Vioja

Kwako laki mbili ni nyingi sana wakati kuna wachimba mitaro na wabeba zege wanazichanga kwa ajili tu ya kulala na mke wa mtu au mdada mwenye makalio kama fuso.acha umasikini na wivu.
 
Sio kweli mtoa post, jf ina watu wa aina zote.

Mm nafikiri hutembelei majukwaa yote au una bahati mbaya ya kutokutana na thread za watu wanao omba ushauri pale wanapo kutana na magumu.
 
Sio kweli mtoa post, jf ina watu wa aina zote.

Mm nafikiri hutembelei majukwaa yote au una bahati mbaya ya kutokutana na thread za watu wanao omba ushauri pale wanapo kutana na magumu.
Unanipangia maisha huo si mtazamo wangu jamani
 
Kwako laki mbili ni nyingi sana wakati kuna wachimba mitaro na wabeba zege wanazichanga kwa ajili tu ya kulala na mke wa mtu au mdada mwenye makalio kama fuso.acha umasikini na wivu.
Sawa taaamu..[emoji7]
 
Jf kila mtu Tajiri Hakuna Nyuzi ya Mtu Maskini.

Jf kila mwanaume lazima Anakula Kimasihara Halfu anatumia laki 2 sasa sijui wanaume wajf tofauti na Tunaokutana nao mtaani kutoa Elfu 10 shida.

Jf kila mtu anaishi kwa nyumba kali na Ana gari kali Range,V8 Hatari tupu jamani eh humu ndani.

Jf kila mwanaume ana nguvu za kiume .

Jf kila mtu ana degree kutoka Udsm kama udaktari basi kasomea Muhas,

Jf hakuna anayekaa gheto wote wana nyumba kama sio tabata basi kigamboni.

Jf wanawake wa Jf hatuna maisha ya ovyo wala Hatudangi.

Jf kila mtu anajua kuandika vizuri na kila mtu mkosoaji.

Jf kila mtu anamshauri mwenzake atafute Hela.

Jf wanaume hawaendeshwi na mapenzi.

Jf superstar wao ni mshana Jr na jamaa yule wa subiri wakupe muongozo sijui nani.
Naongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.

Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.
😁😁😁 jf kila mtu ana degree
 
Wewe mtu unahangaika sana na JF,
Umeanzisha thd kuja kujisifia humu kua wewe ndio super star wa jf? Una usuper star gani? Wa kucopy google na kuja kupaste hapa?
 
Jf kila mtu Tajiri Hakuna Nyuzi ya Mtu Maskini.

Jf kila mwanaume lazima Anakula Kimasihara Halfu anatumia laki 2 sasa sijui wanaume wajf tofauti na Tunaokutana nao mtaani kutoa Elfu 10 shida.

Jf kila mtu anaishi kwa nyumba kali na Ana gari kali Range,V8 Hatari tupu jamani eh humu ndani.

Jf kila mwanaume ana nguvu za kiume .

Jf kila mtu ana degree kutoka Udsm kama udaktari basi kasomea Muhas,

Jf hakuna anayekaa gheto wote wana nyumba kama sio tabata basi kigamboni.

Jf wanawake wa Jf hatuna maisha ya ovyo wala Hatudangi.

Jf kila mtu anajua kuandika vizuri na kila mtu mkosoaji.

Jf kila mtu anamshauri mwenzake atafute Hela.

Jf wanaume hawaendeshwi na mapenzi.

Jf superstar wao ni mshana Jr na jamaa yule wa subiri wakupe muongozo sijui nani.
Naongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.

Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.

[emoji16][emoji16] jf kila mtu ana degree
Hichi nacho ni kioja cha JF. Mtu kasoma nyuzi zote, anafahamu member wote mpaka anawachambua.
 
Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.

Hivi anapataje muda wa kufuatilia maisha ya watu kwanza tena kwenye mitandao!![emoji848][emoji848]

Hizi ni dalili za uchawi watu kama hawa hawachelewi kukuroga ukiwa na mafanikio

Mtoto wa kiume kuwa na pigo kama hizi utapakatwa
Napakatwa sana ndo maisha yangu tena na wanaume wa kila aina weusi na weupe na utam...naupata id inakumabia mimi ni mwanaume eh kumbe
 
Jf kila mtu Tajiri Hakuna Nyuzi ya Mtu Maskini.

Jf kila mwanaume lazima Anakula Kimasihara Halfu anatumia laki 2 sasa sijui wanaume wajf tofauti na Tunaokutana nao mtaani kutoa Elfu 10 shida.

Jf kila mtu anaishi kwa nyumba kali na Ana gari kali Range,V8 Hatari tupu jamani eh humu ndani.

Jf kila mwanaume ana nguvu za kiume .

Jf kila mtu ana degree kutoka Udsm kama udaktari basi kasomea Muhas,

Jf hakuna anayekaa gheto wote wana nyumba kama sio tabata basi kigamboni.

Jf wanawake wa Jf hatuna maisha ya ovyo wala Hatudangi.

Jf kila mtu anajua kuandika vizuri na kila mtu mkosoaji.

Jf kila mtu anamshauri mwenzake atafute Hela.

Jf wanaume hawaendeshwi na mapenzi.

Jf superstar wao ni mshana Jr na jamaa yule wa subiri wakupe muongozo sijui nani.
Naongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.

Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.

[emoji16][emoji16] jf kila mtu ana degree
Sasa sisi si Great thinker
 
Jf kila mtu Tajiri Hakuna Nyuzi ya Mtu Maskini.

Jf kila mwanaume lazima Anakula Kimasihara Halfu anatumia laki 2 sasa sijui wanaume wajf tofauti na Tunaokutana nao mtaani kutoa Elfu 10 shida.

Jf kila mtu anaishi kwa nyumba kali na Ana gari kali Range,V8 Hatari tupu jamani eh humu ndani.

Jf kila mwanaume ana nguvu za kiume .

Jf kila mtu ana degree kutoka Udsm kama udaktari basi kasomea Muhas,

Jf hakuna anayekaa gheto wote wana nyumba kama sio tabata basi kigamboni.

Jf wanawake wa Jf hatuna maisha ya ovyo wala Hatudangi.

Jf kila mtu anajua kuandika vizuri na kila mtu mkosoaji.

Jf kila mtu anamshauri mwenzake atafute Hela.

Jf wanaume hawaendeshwi na mapenzi.

Jf superstar wao ni mshana Jr na jamaa yule wa subiri wakupe muongozo sijui nani.
Naongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.

Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.

[emoji16][emoji16] jf kila mtu ana degree
Unazungumzia JF ipi? Kama ni hii you are very wrong.
 
Back
Top Bottom