Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hilo hiloAkalie nini mkuu dushe au? 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hiloAkalie nini mkuu dushe au? 😂
Hahahaha mkuu walimu tupo sema wengi wanajifichaNaongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.
Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.
Niponime kumiss 😁😁 upo kweli we mdada
So wee waenda wanaume weupeNdio sema wengine sisi sio dark ni weupe peee. Nitoe huko kwenye dark
Safii kabisa kama upo, just hi bintiNipo
Nilishapenda mmoja na ndo niko nae kwa nyumba. Yess Tall and whiteSo wee waenda wanaume weupe
Ulijikuta upo peke yako mkuu😁😁Kipindi najiunga nilikua naleta maoni na nyuzi za kinyonge kumbe haitakiwi yani ni kuvimba tu nyuma ya keyboard
Nilikua naona utofaut we humu jukwaani yupi hana gar?Ulijikuta upo peke yako mkuu😁😁
Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.Una agenda kufanya watu wapigwe ban wewe sio bure
Extrovert Mzee wa kupambania mkipita hapa muwe wapole
Ukinitoa mimi pangu pakavu nadhani hakuna mkuuNilikua naona utofaut we humu jukwaani yupi hana gar?
Nyie wanawake wote ni zile mama classy alafu mna mibiashara yenu au ni ma sii iii ooo maaeUkinitoa mimi pangu pakavu nadhani hakuna mkuu
😂😂😂 Itakua anatafuta mtu wa kumpaka mafuta huyu sio bure 🤣Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.
Hivi anapataje muda wa kufuatilia maisha ya watu kwanza tena kwenye mitandao!!🤔🤔
Hizi ni dalili za uchawi watu kama hawa hawachelewei kukuroga ukiwa na mafanikio
Mtoto wa kiume kuwa na pigo kama hizi utapakatwa
Na atapata tu humu kuna mashababi wana fantasy za kupiga backshots kwa wanaowashwa washwa 🤣🤣🤣😂😂😂 Itakua anatafuta mtu wa kumpaka mafuta huyu sio bure 🤣
😂😂😂 Akiendelea kua hivi soon watamfuata PM wakamalizane nae wazee wa kupumua kisogoni 🤣Na atapata tu humu kuna mashababi wana fantasy za kupiga backshots kwa wanaowashwa washwa 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Wazee wa kushikisha vidume ukuta😂😂😂 Akiendelea kua hivi soon watamfuata PM wakamalizane nae wazee wa kupumua kisogoni 🤣