Njoeni Muone Vioja

Njoeni Muone Vioja

Uchizi wangu nini sasa?

Alafu wanawake wa jf wote wapo kwenye mahusiano na wana date na tall dark and handsome kasoro Kelsea tuu ambaye ameamua kutulia na andunje andunje
Ndio sema wengine sisi sio dark ni weupe peee. Nitoe huko kwenye dark
 
Naongezea;
Jf hakuna mwalimu, wote wanafanya kazi BOT, TRA na sehemu zingine zenye mshahara wa kuanzia milioni 5 na marupurupu meeengi.

Jf hakuna anayeweza kuishi lindi au mtwara hata siku moja! Kama akipangiwa kazi au mafunzo fulani basi hufanya kazi zake na jioni hupanda ndege kwenda kulala dar au songea na ndege hiyo humrudisha lindi asubuhi.
Hahahaha mkuu walimu tupo sema wengi wanajificha
 
Una agenda kufanya watu wapigwe ban wewe sio bure

Extrovert Mzee wa kupambania mkipita hapa muwe wapole
Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.

Hivi anapataje muda wa kufuatilia maisha ya watu kwanza tena kwenye mitandao!!🤔🤔

Hizi ni dalili za uchawi watu kama hawa hawachelewi kukuroga ukiwa na mafanikio

Mtoto wa kiume kuwa na pigo kama hizi utapakatwa
 
Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.

Hivi anapataje muda wa kufuatilia maisha ya watu kwanza tena kwenye mitandao!!🤔🤔

Hizi ni dalili za uchawi watu kama hawa hawachelewei kukuroga ukiwa na mafanikio

Mtoto wa kiume kuwa na pigo kama hizi utapakatwa
😂😂😂 Itakua anatafuta mtu wa kumpaka mafuta huyu sio bure 🤣
 
Back
Top Bottom