Njombe: 75% Wanawake gerezani wameua waume zao

Wana wivu sana mi nilishakuta barua ndani ya vitisho nikasema hanijui vizuri nikamuacha. Nilitafutwa hadi na dada yake na sikuwahi hata kumfahamu, nayeye ananipa vitisho, kuharibu zaidi nikamwambia nakuhitaji wewe sio huyo mdogo wako, walikoma.
 
Wamekuwa kama wanawake wa Kichagga....kule Njombe wanawake wengi uua waume zao sababu ya biashara zao za mbao, wanafanya waume zao mandondocha wa kuwaletea na kuwalindia mali zao.
 
Njombe hawaui kisa Mali,huku wanajua wenyewe kuzisaka hizo Mali.Wanaua nyie Kwa sababu yaani Mali msake wote afu uhamishie Kwa malaya wako? lazima wakunyoe

Alafu wanaume wa huko wana penda kupiga wake zao!
Sasa siku ya siku ana tokea na pombe kichwani, ana mrushia kofi kumbe pembeni kuna jembe uwiii!
 
huo mkoa inaonekana kabisa kuna watu wengi wenye mtatizo ya afya ya akili.
jitihada za kipekee zifnyike

nadhani pia ndio mkoa namba moja kwenye maambukizi ya vvu.

wana Njombe mnao ishi nje ya mkoa fanyeni jambo kunusuru jamii ya njombe.
 
Njombe wanaua kwa jazba ndio maana wanashikwa. Huku juu unalishwa sumu kidogo kidogo. Hakuna ushahidi. Au unapigwa matukio mpaka unaondoka na stress.
Machame KUUA ni sehemu ya mafunzo kabla ya ndoa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Wachaga kachunguze huko njombe pia wapo na nyie kule kwenu Kuna wazee tupu vijana wamekimbia...Juzi jamaa aligoma kuzikwa Rombo mkakaidi kusafirisha kilichowakuta kwa ubishi
Unawashwa na wachaga? MBna kule kwenye Uzi ule ulisema vijana wanakunywa tena Hapa unasem kule hakuna vijana? Wewe huna tofauti na chizi
 
Hao wamepiga tabia za wachaga maana wanamuingiliano na usikute hao ni wachaga wanaishi njombe ndo wapo gerezani[emoji23][emoji23][emoji23]..Makatili kinoma wao kwa wao wanaogopana
Wachaga wamekuzd Kila kitu wewe maskini WA kidigo
Level Yako ni wadengereko
 
Tatizi mnakutana wote mnawivu una mpiga pumbu mpaka akikuona akuoneinwivu
Hakuonei wivu!
Wakati kukolezana ndiyo kunaleta mauwaji kwenye nzengo!

Unapiga pumbu hadi unataka kumuua, akikumbuka hicho kituko unadhani akikukuta unacheat atakuacha salama?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…