DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
na UKIMWI wakakupaNjombe nimewakaza sana wakati niko Gangilonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na UKIMWI wakakupaNjombe nimewakaza sana wakati niko Gangilonga
Kabisa, nilishangaa maana amekua akinishauri nisithubutu kuwa na KE wa kimo kile cha mkewe na wa kanda ile. Kuna siku alali nyumbani na hakuna wa kumuuliza kwa sababu wanakua wamenuniana wiki 2 nzima no kusemeshana kwa chochote, nilikua nawashangaa sana.Na akaamua kuoa
Ukimwi kama maleria tu tunakula njugu tunaishi.na UKIMWI wakakupa
Kina mkwepa kodi mama kibonge Salome Mgaya?Nenda kichwa kichwa na Hilo bichwa lako wakakunyooshe,Njombe hakuna wanawake wapumbavu kama wa huko kwenu
Tupe takwimu kama mtoa mada. Sio maneno ya kijiweniTofauti yao ni mwingine anaua kwaajili ya mapenzi mwingine anaua kwaajili ya Mali.
Takwimu zipo au ni simulizi za bibi na babu?Wamewapiku Wa-MACHAME a.k.a PALESTINA?
Nashukuru.Ukimwi kama maleria tu tunakula njugu tunaishi.
😂😂😂 Wachaga kachunguze huko njombe pia wapo na nyie kule kwenu Kuna wazee tupu vijana wamekimbia...Juzi jamaa aligoma kuzikwa Rombo mkakaidi kusafirisha kilichowakuta kwa ubishiUtawaskia kina Accumen Mo ooh ukienda machame palestina ooh kuna makaburi tu ya wanaume sijui ooh wanawake wa machame wanaua waume zao wabaki na mali oooh. Yani plenty of shitstuff
Yule kijana wenu aliyeuwa Diwani mlishamtoa kwa Maridhiano au bado yupo jela?Ndiyo maana Mzee Mgaya anakaa kitaalamu sana na dada yake johnthebaptist
Ndio kashapenda hana namna, kuna siku huyo shem aliniambia rafiki yako akija kumuacha atamloga, sikuwahi mwambia jamaa maana jamaa aambiliki
Kaa kimasta.Aiseh sisi tulioa huko tujiandae si Ndio!!?
Habari ndugu!
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geophrey Pinda, leo Jumanne, bungeni jijini Dodoma amesema si wanaume pekee wanaoua wenza wao kwani hata baadhi ya wanawake hufanya hivyo hususani mkoani Njombe ambapo wamebaini asilimia 75 ya wanawake walioko katika gereza la mkoa huo wanatuhuma za mauaji ya waume zao.
View attachment 2509177
----
Kwa wale mnaotaka Kuoa huko Njombe chukua tahadhari hasa kama wewe ni mchepukaji basi usipende huko maana watu Wana wivu na hasira Kali ,wako radhi kukosa wote au mgawane nyumba za serikali..
Sitaki kabisa hao wabena,, wahehe, n wawanjiHabari ndugu!
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geophrey Pinda, leo Jumanne, bungeni jijini Dodoma amesema si wanaume pekee wanaoua wenza wao kwani hata baadhi ya wanawake hufanya hivyo hususani mkoani Njombe ambapo wamebaini asilimia 75 ya wanawake walioko katika gereza la mkoa huo wanatuhuma za mauaji ya waume zao.
View attachment 2509177
----
Kwa wale mnaotaka Kuoa huko Njombe chukua tahadhari hasa kama wewe ni mchepukaji basi usipende huko maana watu Wana wivu na hasira Kali ,wako radhi kukosa wote au mgawane nyumba za serikali..
Kuna mmoja nilimpata wa Njombe aisee wale ni wehu mabinti wa huko. Akaniambia ataniweka kwenye oven siku moja kila mara vitisho nikamtafutia kisa tukaachana. Ila kwa uongo wa hali ya juu sana. Ila kazi zote ni bingwa. Shida hasira. Upo kifuani utasikia ukinthomba mwingine nikijua nawaua wote.Ndio kashapenda hana namna, kuna siku huyo shem aliniambia rafiki yako akija kumuacha atamloga, sikuwahi mwambia jamaa maana jamaa aambiliki
Pia wapalestina hawafungwi jela kwa kuwa wsnaua kwa akili zaidiTofauti yao ni mwingine anaua kwaajili ya mapenzi mwingine anaua kwaajili ya Mali.
Wachaga hawana hizo tabia hakuna wanawake wavumilivu kma wachaga hasa wakikuona una maonoMliwasingizia wanawake wa kichaga, ona sasa