Njombe: Aliyeshtakiwa kwa kuwabaka Wanawake kwa zamu na kuwaingizia matango sehemu za siri ahukumiwa miaka 180 jela

Ataishi jela miaka 20.. Miaka jela unaishi 2/3 ya muda uliohukumiwa. Vifungo 6 vya miaka 30 vinaenda pamoja do ni miaka 30 na kwa kuwa unatumikia 2/3 maana yake ni atakaa jela kwa miaka 20
Ah kumbe ndiyo ipo ivyo
Nilikuwa najiuliza atawalipa vipi wakati anaweza fia huko gerezani?
 
Kwahio hapo kila kosa ni miaka 30? na anatumikia kwa pamoja, kwaufupi 6 IN 1, means atakaa ndani miaka 30? Naomba nirekebishwe kama sivyo.
Halafu huyo mganga anaachwajee?
Kwa kuwa inaenda sambamba, atatumikia miaka 30.Lakini sababu jela unatumikia 2/3 basi ataishi jela miaka 20
 
Hizi hukumu sio Bongo tu zipo nchi nyingi tu achanani na mambo ni Tanzania pekee blah blah blah.
 
Mtoa mada jaribu kujifunza haya mambo kabla ya kuonyesha ujinga wako hadharani...

Hizi hukumu zipo sana nchi nyingi hasa Jumuiya ya Madola (Commonwealth) na USA..
 
Kifungo cha juu Tanzania ni miaka 30!! Huyu alikua obviously na makosa zaidi ya moja so atatumikia 30yrs only
 
😄 🤣 USA unahukumiwa miaka 2000 bila parole
Hao ndio huwa nawashangaa
 
Kwahio hapo kila kosa ni miaka 30? na anatumikia kwa pamoja, kwaufupi 6 IN 1, means atakaa ndani miaka 30? Naomba nirekebishwe kama sivyo.
Halafu huyo mganga anaachwajee?
Upo sahihi
 
Elezea kidogo mkuu
Ukiwa na makosa zaidi ya moja wanaangalia lenye muda mrefu zaidi.

Mfano kubaka 30
Wizi 15
Kujeruhi 7
Kulawiti 30
Hapo ykijumlisha ni 72yrs lakini unatumikia adhabu zote kwa pamoja.

Ndo maana mtu aliyefungwa miaka 3621 anaweza kutoka jera lakini aliyefungwa maisha hawezi
 

Si mpaka itamkwe kama inakwenda pamoja ndugu?

Zingine huwa moja baada ya nyingine.
 
Nilijua tu, huyo hakimu lazima ni mwanamke, miaka 180 ndio nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…