Njombe: Amuua Mama yake mzazi na kisha Kumbaka

Njombe: Amuua Mama yake mzazi na kisha Kumbaka

Visungura vinalipiwa kodi mkuu,kwahyo visibughudhiwe tafadhali. Mkanye mwanao aachane navyo kila mtu apambanie chake😅😅😅
Kwakuwa unavinywa lazima uvitetee kwa jasho na damu.
 
Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mawengi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, Ubatizo Sanga mwenye umri wa miaka 55 amefariki baada ya kupigwa na mchi wa kinu kichwani na baadaye kubakwa na Mtoto wake Asifiwe Haule mwenye umri wa miaka 25.

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amethibitisha kutokea kwa tukio hilo August 08,2023 majira ya saa 10 jioni ambapo amesema tayari Mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba taarifa zaidi juu ya tukio zitatolewa na Polisi.

DC Victoria amesema “Nimetoka kuongea na Kaimu OCD ameniambia hilo tukio kwa kina na huyo Mhusika tayari yupo chini ya ulinzi, usalama unaendelea kuimarishwa kwani tukio limetokea ndani ya Familia husika, kubwa kama huyu Mtu angekuwa hajakamatwa ina maana ingeweza kuleta shida kwenye Jamii lakini ni Mhalifu ambaye ameshakamatwa”

Awali Mwenyekiti wa Kijiji cha Mawengi Renatho Kahako alisema kuwa Mtoto huyo alifanya mauaji ya Mama yake na baadaye akaibaka maiti “Huyu kijana ni kama alikuwa amechanganyikiwa muda mrefu, kidogo alikuwa hayupo timamu"
 
Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mawengi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, Ubatizo Sanga mwenye umri wa miaka 55 amefariki baada ya kupigwa na mchi wa kinu kichwani na baadaye kubakwa na Mtoto wake Asifiwe Haule mwenye umri wa miaka 25...
Wakinga hawawezi kupata hela bila masharti ya waganga wa Zambia.
 
Apimwe kwanza akili, kama akili zake ziko salama, huyo wamkate ndonga, wamkate kende moja, wamkate miguu yote, wamkate mikono, wamtoboe macho, wamtoboe na masikio, kwa zamu zamu.
 
Watu hawasomi habari hadi mwisho wana comment kwa kichwa cha habari tu,
Huyo kijana inasemekana ana upungufu wa akili, sio timamu... inawezekana lengo lake lilikua kubaka sasa ule mchi aliompiga kichwani ukamsababishia mauti, bila kujua kama muhanga ameshafariki akaendelea na adhma yake ya ubakaji....

Yote kwa yote hii gender ingeteketezwa tu.


Kwamba wanaume wafutwe duniani au Tanzania?

Sijaelewa.
 
Mbaya zaidi na mauno akakata,Yani anasukuma kabisa Kama kwa demu, itasikitisha zaidi Kama na wazungu alimwaga
Itakuwa alimwanga wazungu,na ndo maana wamegundua kuwa amembaka.Itakuwa wamemkuta na sperms.
 
Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mawengi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, Ubatizo Sanga mwenye umri wa miaka 55 amefariki baada ya kupigwa na mchi wa kinu kichwani na baadaye kubakwa na Mtoto wake Asifiwe Haule mwenye umri wa miaka 25.

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amethibitisha kutokea kwa tukio hilo August 08,2023 majira ya saa 10 jioni ambapo amesema tayari Mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba taarifa zaidi juu tukio zitatolewa na Polisi.

DC Victoria amesema “Nimetoka kuongea na Kaimu OCD ameniambia hilo tukio kwa kina na huyo Mhusika tayari yupo chini ya ulinzi, usalama unaendelea kuimarishwa kwani tukio limetokea ndani ya Familia husika, kubwa kama huyu Mtu angekuwa hajakamatwa ina maana ingeweza kuleta shida kwenye Jamii lakini ni Mhalifu ambaye ameshakamatwa”

Awali Mwenyekiti wa Kijiji cha Mawengi Renatho Kahako alisema kuwa Mtoto huyo alifanya mauaji ya Mama yake na baadaye akaibaka maiti “Huyu kijana ni kama alikuwa amechanganyikiwa muda mrefu, kidogo alikua hayupo timamu"

Jitihada za kumtafuta RPC wa Njombe ili kupata ufafanuzi zaidi juu ya tukio hilo zinaendelea.

AYO TV
Kumbe chizi? Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya mama yake. Amina.
 
Back
Top Bottom