Njombe: Amuua Mama yake mzazi na kisha Kumbaka

Ameiingilia maiti kimwii hajabaka.
 
Ila sperms zitunzwe kabla hawajauwawa ili tuendelee kuijaza dunia😅😅
 
Jamani tumezika Jana mchana huu msiba aacheni Bado sisi tunaomboleza

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Daaah vijana wanawehuka mapema sana,kuna aina fulani ya maisha huwa wanailazimisha halafu aina hiyo huwalazimisha wao iwafuate,mwisho wa siku wehu wanakuwa wengi mitaani na madhara kama haya kwa familia hujitokeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…