Njombe: Amuua mwanamke kwa kumtoa utumbo kwa kuingiza mkono wake njia ya haja kubwa kisa Kukataliwa Kimapenzi

Njombe: Amuua mwanamke kwa kumtoa utumbo kwa kuingiza mkono wake njia ya haja kubwa kisa Kukataliwa Kimapenzi

Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/DDhTUgGu0FP/?igsh=MWlpNW1vaGRkczFqbw==

Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.

Njemba linalazimisha penzi kwa mwanamke mwenye umri sawa na mamake mzazi🙁(50-33=17)!

Wanawake wanaojiheshimu hawapendi kuvuliwa chupi na wanaume wenye umri sawa na watoto zao, ndiyo maana alikataa.
 
Nimempata bana
images (3).jpeg
 
Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/DDhTUgGu0FP/?igsh=MWlpNW1vaGRkczFqbw==

Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.

Kwahiyo unamkatalia mtu mapenzi lakini anakuwa na uwezo wa kukupeleka uchochoroni na kuingiza mkono
 
Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/DDhTUgGu0FP/?igsh=MWlpNW1vaGRkczFqbw==

Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.

NJOMBE KUNA ROHO YA MAUAJI!IKEMEWE!!
 
Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/DDhTUgGu0FP/?igsh=MWlpNW1vaGRkczFqbw==

Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.

R.I.P MSHANGAZI
50 VS 33
 
Kwahiyo unamkatalia mtu mapenzi lakini anakuwa na uwezo wa kukupeleka uchochoroni na kuingiza mkono
Ndiyo maana watu hupatikana na hatia mahakamani na kufungwa kwa sababu ya ushahidi wa kimazingira!

Hapo kweli, itawezekanaje watu wasio na mahusiano kuingia chocho na kuchomoana utumbo?
 
Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/DDhTUgGu0FP/?igsh=MWlpNW1vaGRkczFqbw==

Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.

Hiyo my take ni takataka wewe Qummer,
Kwamba kisa Balthazar kawatafuna mademu 400
Ndio wanaume wote wa Equtorial guinea ni wahuni kama jamaa?

Kwa akili hizo ni halali CCM kukufanya msukule wao maana inaonesha wewe ni empty Fvc head biatch!

Fvc you narudia
Fvc madafacker faker faked
 
Kipindi mkono unaingizwa huyo bibi alikuwa wapi, yaani alikubali kirahisi hivyo kuingizwa mkono?, kwasababu si jambo rahisi kihivyo, au alilewa sana au walikuwa kwenye hiyo michezo na jamaa akachukua advantage ya nafasi kufanya alichofanya, inafikirisha sana.
 
Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi.

Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi.


--
Polisi mkoani Njombe inamshikilia Baltazari Sonyonda (33) mkazi wa Kijiji cha Iwungilo Halmashauri ya Mji Njombe kwa tuhuma za mauaji ya Mariam Clarence Ndindile (50) baada ya kuingiza mkono sehemu ya haja kubwa ya mwanamke huyo na kisha kuvuta utumbo na kuukata na kipande kukitoa nje.

Akitoa taarifa ya mwezi ya utendaji kazi wa jeshi hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga amesema upelelezi wa awali umeonesha mtuhumiwa huyo alikuwa akimtaka kimapenzi kwa muda mrefu mwanamke huyo, na kwamba aliamua kutekeleza mauaji hayo baada ya kutokea mgogoro mdogo baina yao walipokuwa wakitoka kilabuni.

Kamanda Banga amesema polisi pia inamshikilia Neema Wikechi (21) Mkazi wa Mtaa wa Idundilanga Kata ya Njombe Mjini kwa tuhuma za kumjeruhi na kitu chenye ncha kali sehemu za siri mwanaume anaitwaye Flowin Msigwa (27), chanzo kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Polisi mkoani Njombe pia linaendelea kumsaka mwanaume mmoja mkazi wa Makambako anayedaiwa kuwabaka watoto wawili wa mke wake ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi na kuwaambukiza virusi vya ukimwi.

Watoto hao walitoa taarifa ya kufanyiwa ukatili huo kwa bibi yao walipokwenda likizo, wakidai baba yao alikuwa akiwafanyia ukatili kila mama yao anapotoka kwenda kwenye shughuli za kiuchumi.

--


Nitoe wito Kwa Serikali kuwapima watu wa Njombe Afya ya akili na pia Kupeleka wanasaikolojia Kila kata ,shuleni na hospitali zote Ili kuwa council watu hao vinginevyo wataendelea ku make headlines za Ukatili usio mithilika.

Wakati tukio Hilo halijapo Kuna mwingine huko huko Makambako Njombe amebaka Watoto 2 na mama Yako na kuwaambukiza Ukimwi na katokomea kusikojulikana.

Huu kama sio ushetani tuitaje Sasa,huo Mkoa na watu wa huko hapana Wana roho mbaya za Kikatili sana.

My Take
Tahadhari,Kaeni mbali na watu wa Njombe ni wakatili kuliko kawaida,huko Bangi ni sehemu ya mboga Hadi miaka ya karibuni ambapo Serikali ndio imekuja kukataza.

R.I.P mshangazi.
Na swali la kujiuliza, how come mkono ulipita
 
Back
Top Bottom