TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

alimpokea YESU hatua zake za mwisho?
Wale matajiri wa KI-KINGA watapuputika hapo kariakoo.
 
alimpokea YESU hatua zake za mwisho?
Wale matajiri wa KI-KINGA watapuputika hapo kariakoo.
Ampokee Yesu aliekuja na ndege toka Bethelehem ya uyahudi wakati yeye ni Mbena pure aliyekua akiabudu miungu ya Babu zake?

Sometimes muwe mnaheshimu imani za mababu zenu ndugu zanguni
Mnalowea middle east kwenye miungu ya wayahudi halafu mnajiona wajanja wakati mnafake tu!
 
Hata wayahudi wanatushangaa maana na wao hawatambui tunacho wanasibisha nacho
 
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£
 
Kwa jinsi hilo kaburi lilipangwa kujengwa na hatua iliyofikiwa mpaka marehemu anafariki, inaonekana bado sana kukamilika, ninahisi halitakamilika. Ni gharama kubwa zisizo na msingi, nadhani wosia wake utapuuzwa tu.
 
alimpokea YESU hatua zake za mwisho?
Wale matajiri wa KI-KINGA watapuputika hapo kariakoo.
Unamawazo mgando sana,nani alikwambia mwandulami aliwapa utajiri hao wakinga? Utajiri wa wakinga umepatikana mbeya,mtwara hasa kwenye korosho,makambako,Njombe,Morogoro,Ifakara,Tunduma nk..
 
Hivi hilo kaburi liliweza kukamilika kweli au wahusika wameamua kupotezea?
 
Plus communication jammer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…