TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Hii timu ya Simba imesababisha vifo vingi sana kwa mashabiki wake, tofauti kabisa na Wananchi Yanga! Mifano ni mingi, muda ni mchache!

Sijui sababu ni nini!!!
Ni kwa sababu hakuna simba anayeishi mjini au kuishi na watu. Simba wanaishi porini tu ndo kuna wanyama wa kukimbiza na kuwala
 
View attachment 1840225View attachment 1840223

Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam.

Mganga huyo aliyejipatia umaarufu nchini baada ya kujijengea kaburi lake la mamilion ya fedha ambalo alisema atazikwa yeye na wakeze watatu.

Dokta Mwandulami alichukua uamuzi huo wa kujiandalia makazi ya milele kitendo kilichowashangaza wananchi wengi hapa nchini.

Taarifa zaidi nitazileta Kwa update!

Zaidi, soma: Njombe: Mganga wa kienyeji Mwandulami ajijengea kaburi la mamilioni, anamiliki magari ya kifahari
Huyu jamaa alikuwa mshirikina haswa,hakuna mkazi yeyote yule wa buza asiyemjua.Ana mdogo wake anaitwa Sifuni naye alikuwa mchawi balaa.
 
Miongoni mwa mambo yaliyoshangaza ni
  1. TRA walikwenda kumkagua wakitaka kodi, akawakaribisha kwenye viti na kuwapa nyaraka zake wazipitie, muda mfupi wote wakapitiwa usingizi mzito wakaja kuzinduka jioni, hawakutaka kumsikia tena wakaondoka.
  2. Alifuga nyuki chini ya Nissan yake kama walinzi.
  3. Inasadikika alipata kutumia nguvu ya jadi kumfanya mbaya kibaka pale Mnazimmoja Dar baada ya kumwibia mizigo yake

Alikuwa mchawi balaa huyu, ukimuibia kitu anakuonesha live kwenye TV yake ya jadi.
 
Waganga wengi wa jadi ni matapeli, huwezi kuwa mganga wa jadi na ukawa bilionea, huo ubilionea kwa malipo gani kama sio kuwatapeli na kuwatisha watu kwa uongo wao?

Alikuwa Freemason pia.

Kuna mti wa kafara upo uani kwake ,hapo mbuzi anakauka ndani ya sekunde tu .
 
Screenshot_20210706-031420.png
 
Bilionea mwandulami hilo pagale mil 20 huko njombe angekua ashamaliza ujenzi.
Sasa kafa na jamaa wanarara mbere na wakeze.
Tumeumbwa tofauti, hata siku moja hutamkuta babukijana akisema nimejaaliwa nna pesa nyingi sana.
Zipo ila simwambii mtu
 
Back
Top Bottom