TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Hatimae mwili umewasili Leo mchana ukitokea Dar es Salaam nimepata taarifa baada ya kuufikisha nyumbani Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Sasa wanautoa na kupeleka huko ilembula inakodaiwa ndio Kuna taratibu za kiganga wanaenda mfanyia Kwa wakuu wa vilinge ndipo Sasa hatua za mazishi zifuate
Endelea kutuhabarisha yanayojiri huko mkuu
 
Tuliaga jana hospital ya jeshi lugalo,wakasafirisha kwenda wangama jana mchana,mazishi ni ijumaa kwa mujibu wa familia,kwa tuliopo dar safari ni alhamis usafiri utakuwepo.
Nikutakie safari njema ,utatuhabarisha ukiwa huko msibani
 
Kilikua kipande cha mtu hivi haaa haaa haaa kilikua mafia balaa
mwamba alikua anatisha Sana hatari sisi form one tulianza wanafunzi 160 hivi yule jamaa akawa anatufundisha English Sasa Ile tumelipoti tu kinjuka na mwamba ndio anahamia aisee mabala the farmer tu ikasababisha njuka 20 wakache shule maana alikua anatoa kichapo heavy kiasi kwamba kitabu chote utakichambua bila kupenda

Aisee akakomaa na sisi mbaka form 4 tukamaliza watu 102 tu sababu ya yule mwamba watu walikacha shule mapema tu alikua mtu na nusu!
😂😂😂😂😂
 
mwamba alikua anatisha Sana hatari sisi form one tulianza wanafunzi 160 hivi yule jamaa akawa anatufundisha English Sasa Ile tumelipoti tu kinjuka na mwamba ndio anahamia aisee mabala the farmer tu ikasababisha njuka 20 wakache shule maana alikua anatoa kichapo heavy kiasi kwamba kitabu chote utakichambua bila kupenda

Aisee akakomaa na sisi mbaka form 4 tukamaliza watu 102 tu sababu ya yule mwamba watu walikacha shule mapema tu alikua mtu na nusu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi hatujapishana sana mimi na wewe wakati anafika nilikua form 2,bange kama maua,ulanzi kichiwa mpaka tagamenda, maandazi ya bi mahepe au kule chini kwa bi mdogo wa mzee lutengano, ugali wa mpishi mayemba na yule ticha wa kemia aliungua mdomo Ndendya
 
Basi hatujapishana sana mimi na wewe wakati anafika nilikua form 2,bange kama maua,ulanzi kichiwa mpaka tagamenda, maandazi ya bi mahepe au kule chini kwa bi mdogo wa mzee lutengano, ugali wa mpishi mayemba na yule ticha wa kemia aliungua mdomo Ndendya
hahaahaaa hatari na nusu mzee baba!
 
Ikumbukwe kuwa yeye si mtu wa kwanza kujijengea kaburi in advance, hilo jambo alijifunza kutoka kwa mzee Lutengano wa Mtwango, Mzee Lutengano aliwahi kuwa mkuluma maarufu miaka hiyo akimiliki tractor aina ya Ford iliyokuwa ikitumia kerosene na alidumu nayo kwa miaka mingi hadi late 80s, inasadikika kampuni ya Ford ilipata habari juu ya uwepo wa tractor hiyo kongwe kinyume na matarajio yao, hivyo kitendo cha kukitunza chombo hicho kwa miaka mingi na hata kuipa kampuni hiyo sifa kuwa inatengeneza vitu imara, kiliwafanya watengenezaji wa Ford kumpa zawadi.
Huko sahihi kabisa.
Tena malizia Mzee Lutengano Nganilevanu
 
sema vile ilivyo, mganga, muchawi wa jadi aliyenjijengea kaburi afa, huyu sio dr, heshimu madaktari mkuu
 
Yaah n poa Sana mkuu alinipokea nilipoenda kuzika msiba wa PROF CHACHAGE alizikwa pale mtwango maana alikuwa mwalimu wangu prof

Mdogo wake ANDREW Kama sikosei unamjua na Yuko wapi?
Mwanaye yule,ni mtoto wakaka yake ambayw ni marehemu, Andrew ni ticha ilembula nadhani
 
Yaah n poa Sana mkuu alinipokea nilipoenda kuzika msiba wa PROF CHACHAGE alizikwa pale mtwango maana alikuwa mwalimu wangu prof

Mdogo wake ANDREW Kama sikosei unamjua na Yuko wapi?
Ngoja kesho nitawauliza wakulungwa wa pande zile
Nijue Andrew aliko mkuu nitakuletea majibu!
 
Back
Top Bottom