TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Ujiandalie usijiandalie haisaidii cho chote. Kufa kuko pale pale kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]

Actually nadhani kujiandalia ni wazo zuri
Hamna
Mi nimesema nikifa zika popote hata manispaa poa.
Unakuta kuna jinga moja proffeser anadai nikifa mnipeleke kwetu kijijini nikazikwe .
Sasa hapo ndo watu hushangaa.
Mi nasema marehemu atafika aliposema,sh ngapi kaacha za usafiri?Hamna
Then inakua si mumzike tu hapo.
You can imagine Us$ 60000 from US to Dar per casket aloooo.
 
UFUNUO WA YOHANA. SURA YA 14: MSTARI WA 13.
Biblia inasema:-

"Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao".

Yeye aliye na masikio, na asikie. Asema Bwana Mungu wa Isreal, Bwana Mungu aliyeumba wanadamu wote na vitu vyote.


THE BOOK OF REVELATION CHAPTER 14: VERSE 13.
The Bible says:-
"And I heard a voice from heaven saying unto me, Write, Blessed are the dead which die in the Lord from henceforth: Yea, saith the Spirit, that they may rest from their labours; and their works do follow them."

He that hath ears to hear, let him hear. Thus says the Lord God of Isreal, the Lord God Who created all humankind and everything.
 
Kilinge chake kipo yombo kwa Lulenge kama sikosei.
nahisi hivyo ila hicho atakua anakiendesha mtoto wake Kwa hapo Dar sababu jamaa alikua na nyumba miji mbali mbali
Kwahiyo akitaka kufanya kazi huko dar ndio anafikia na kazi inaendelea ila head courter ya kilinge ilikua Kijiji Cha wangama Njombe!
 
Hilo deni la mashetani litakusumbua sana kwa sababu litakuwa linataka kulipwa. Kwa usalama wako lipeleke madhabahuni kwa Bwana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Acha kumshauri ujinga mwenzio et apeleke kanisani Kwa bwana wewe akairudishe kilingeni huko huko kumbuka ya kaisari mpe kaisari ya bwana Mpe bwana kwani Bible yenu haijasema?
 
Hivi anavyosema anazikwa na wakeze ina maana wanazikwa wakiwa hai? au nao muda wao utakapofika?
 
Mazishi Ijumaa kiongozi, hata sisi was Makambako tunashinda Wangama kwenye msiba tukiombeleza tu. Ni kama sherehe ya wiki nzima yaani!!
kumbe tunaweza kuonana kamanda
Sema ndio hivyo fake I'd
Nimetimba toka jumapili maeneo ya huku Mtwango nipo nipo napata information mbali mbali!
 
Anamiliki nyumba nyingi sana Njombe na Makambako, inasemekana moja ya nyumba zake ni ofisi ya Halimashauri ya mji wa Makambako,
Ni Ofisi za Zamani, sa hivi Halimashauri ina majengo yake!
 
Vipi ameponya wengi.yeye kashindwa kujiponya?
Sasa si bora ya huyu, kuna mpuuzi mmoja alikuwa akilindwa na wanyarwanda eti hawaamini waTz wenzie, msafara wake ulikuwa na helikopta juu, walinzi wenye siraha nzito, magari ya kudetect Mabomu na alipokuwa akiebda mahali alikuwa anawatuma mashushushu mwezi kabla. Sema Mungu ni funding sana!
 
Sasa si bora ya huyu, kuna mpuuzi mmoja alikuwa akilindwa na wanyarwanda eti hawaamini waTz wenzie, msafara wake ulikuwa na helikopta juu, walinzi wenye siraha nzito, magari ya kudetect Mabomu na alipokuwa akiebda mahali alikuwa anawatuma mashushushu mwezi kabla. Sema Mungu ni funding sana!
Hivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisa
 
Hivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisa
haaahaaahaaa nimekumbuka nchi zilizokua muungano wa kisoviet zilipanga vita Sasa nchi mojawapo miaka ya nyuma aliwahi mtwanga mwenzie na kunyang'anya eneo lake
Sasa juzi juzi wamejipanga wazichape tena yule aliepigwa kipindi kile akaamua atumie tech ya drone tu yule mbabe wa mwanzo akaandaa mavifaru,magari na infantry solder's wakati anataka across border la mwenzake akatunguliwa na ma drone ya kufa mtu Akala nduki hakujua
Kumbe siku hizi watu wanapigana vita huko wamekaa kwenye kiti Cha kuzunguka na air conditioner saaafi anacheza na keyboard za laptop tu kuendesha mitambo ya drone kushambulia adui popote!
 
Hivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisa
Alikuwa mshamba kabisa, hakuyajua hayo!
 
Back
Top Bottom