TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Hii timu ya Simba imesababisha vifo vingi sana kwa mashabiki wake, tofauti kabisa na Wananchi Yanga! Mifano ni mingi, muda ni mchache!

Sijui sababu ni nini!!!
Kuna yule mzee wa Ruvuma "aliuwawa" na Mugalu kukosa penalty vs Prisons mwingine alikufa Mwanza ile penalty ya Sarpong vs Simba.
Mashabiki wa Yanga wamezoea shida kama wa Arsenal.
 
Kuna yule mzee wa Ruvuma "aliuwawa" na Mugalu kukosa penalty vs Prisons mwingine alikufa Mwanza ile penalty ya Darling vs Simba.
Mashabiki wa Yanga wamezoea shida kama wa Arsenal.
Hakika Mwenyezi Mungu aendelee kutujalia mashabiki wa Yanga hali uvumilivu! Wenzetu wanapukutika kweli kweli kwa sababu ya timu yao!

Na hii ni nje na wale wanaozimia wakati mechi ikiendelea!!!
 
duuuu hatari sΓ naa
 
Ni mnyakyusa ? Naona ana ngeli ta wanyaki akina mwakyusa,mwalami,mwasumbi nk
 
Mzee wa miti shamba hatimaye ameondoka, daah mwanaye nilikuwa naye sehemu bila shaka yule atarithi tu.

Rip na pole kwa wafiwa
 
Huyo alikuwa mganga wa kienyeji katika kijiji cha mtwango,

alishajijengea kaburi la bilioni 😎 😎

machache kuhusu yeye

Huyuy mbuzi amesahau kumwambia boss wake kifo kinataka kukudhuru. Kama kuna kitu kinatupotezea muda waafrika basi ni ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…