Njombe: Ashikiliwa na polisi kwa kumuua mtoto wa miaka saba akidhani ni ng'ombe

Habari haijakamilika.
Kijana alilala wapi, nyumba moja na shangazi au nyumba nyingine? Je, kama ni nyumba nyingine na aliyolala shangazi mtoto aliingiaje endapo mlango ulifungwa??
Shangazi akapimwe akili kwanza!
Naongezea, shangazi wakati anampiga huyo ng'ombe (mtoto) hakutoa sauti ya vilio?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Brown James Kaduma
 
Kumbe ni Njombe!
Hata sishangai
[emoji84]
 
Njombe amekusuduia pana mauaji ya watoto sana huko wasitupakie rangi...
 
Amesema ameona ng'ombe mkubwa mweusi je mtoto wa miaka 7 anakuwaje na mwili mkubwa kama ng'ombe?
Na wakati kikawaida mtoto mdogo wa miaka 7 anakuwa na kamwili kadogo na kafupi?

Kuna kitu hakipo sawa either huyo mwanamke ana matatizo ya akili au ameua kwa kukusudia.
 
Wagonjwa wa akili ni wengi nchini.Hii taaluma ingaliwe kwa mapana.Wengi wanaamini wanaamini mapepo ni dalili ya magonjwa ya akili.wachunguzwe.
 
Kuna mengi ya kufanyia uchunguzi wa kina ili ukweli ujulikane badala yakujificha kwenye kivuli cha maombi.
 
Bado ni
utata ,je mtoto huyo alilala na Nani?





Usiku wa manane mtu unaomba unaomba kimwili au kiroho?
Hadi unahisi Ng'ombe binadamu inamaana hakuwa na macho yakiroho?

"Pumuzika kwa Amani mtoto wetu mpendwa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…